Kuna bora kanipoteza, eti mwanza mtaa wa Rwagasore eti Equipment hzo zipo kibao, shida yangu haikua Camera tu, hapana kuna vitu kibao nilitaka
Wazushi wanadai eti Mwanza wanachukulia vitu Uganda lakini pia eti wanauza bei nafuu, kumbe hakuna lolote
Wanaume wa Dar nakuja huko pia