Sera ya Chadema ya majimbo ndo jibu la matatizo hayo ya kupendelea baadhi ya mikoa na kuiterekeza mikoa mingine.
Mfano mwingine ni katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga.Kishapu Kuna mgodi wa almasi wa Mwadui, lakini wilaya haina barabara ya lami.