Serikali hata isijisumbue kuweka pesa nyingi kwenye ujenzi wa airport za mikoa ambayo haipokei wasafiri wengi Kwa mwaka na badala yake airport za mikoa mikubwa kwanza....mwanza airport inaitaji modernization ya Hali ya juu sana. Ipanuliwe, jengo la abilia, runway ziongezwe hata control tower inatakiwa iwekwe mpya ya kisasa. Airport za vijijini hazitaridisha pesa mapema kulinganisha na za miji mikubwa.
Ila pia muda umefika hivi vidaladala vidogo vitolewe katikati ya mji viplekwe misasi huko au magu...mjini zibaki Costa tu.