mirinda tamu
Member
- Sep 2, 2013
- 76
- 27
Wanajamii
Benki Ya Amana Tawi La Mwanza limevamiwa na majambazi wenye seilaha nzito na kufanikiwa kuiba kiasi kikubwa cha fedha.
Bado nafuatilia kujua kama kuna mtu yoyote aliejeruhiwa ama kuuwawa katika tukio hili la ujambazi wa kutisha.
Benki Ya Amana Tawi La Mwanza limevamiwa na majambazi wenye seilaha nzito na kufanikiwa kuiba kiasi kikubwa cha fedha.
Bado nafuatilia kujua kama kuna mtu yoyote aliejeruhiwa ama kuuwawa katika tukio hili la ujambazi wa kutisha.