Mwanza: Afariki dunia baada ya kuigonga ndege ya FastJet

Mwanza: Afariki dunia baada ya kuigonga ndege ya FastJet

Ule uwanja wa mwanza kujenga uzio wa ukuta ni changamoto sana bora sasa wazungushie hata fence maana zamani kule kulikuwa hakuna activity za watu sasa hivi mji umetanuka.


Usikute huyo mwanaume wa mkoani kaamua kujiua kama kawaida yao wakishagundua wake zao wamechepuka.
 
Wasukuma washamba sana huyo atakua mkazi wa Kayenze au Igombe sasa baada ya kukosa usafiri wa basi la digidigi kaamua kuchapa lapa na kukatiza uwanjani kama shortcut anyway R.I.P mgonga ndege
 
Wasukuma washamba sana huyo atakua mkazi wa Kayenze au Igombe sasa baada ya kukosa usafiri wa basi la digidigi kaamua kuchapa lapa na kukatiza uwanjani kama shortcut anyway R.I.P mgonga ndege
Pale jirani si kambi ya jeshi huyo ngosha kapitaje?!
 
Wasukuma washamba sana huyo atakua mkazi wa Kayenze au Igombe sasa baada ya kukosa usafiri wa basi la digidigi kaamua kuchapa lapa na kukatiza uwanjani kama shortcut anyway R.I.P mgonga ndege

hahahahahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh !jaman mtu akisema wasukuma washamba nakumbuka tu ndugu zangu mie !dah
 
Atakua alikua anataka adandie ndege alijua inaenda kwa trump
 
Tuna JKT na tunao Wafungwa hapa Mwanza. Hawa wote wanashughuli gan kwenda kujenga uzio mwanza airport. Mbona wenzao JKT kule Arusha mererani wanapiga kazi kuzunguka machimbo?
 
Ni kweli imetokea nimeongea na jamaa mwanza airport, nina wasiwasi, jamaa kazi hawana, kwa utawala huu, hawana kazi
 
Tuna JKT na tunao Wafungwa hapa Mwanza. Hawa wote wanashughuli gan kwenda kujenga uzio mwanza airport. Mbona wenzao JKT kule Arusha mererani wanapiga kazi kuzunguka machimbo?
Tena kama bajeti ni ndogo unaweza kujenga upande mmoja tu hadi juu huko. Inatosha kum discourage mwenda kwa miguu. Apumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom