mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
Kwani huyo Mwanyamaki wako ndio kafanya niini,...?
Bora hata Mwakalinga kawachangamsha na Kyela fm....
nGOJA NIKUELEKEZE VIZURI KIJANA ni kwamba Abraham Mwanyamaki ni mzawa wa kijiji cha ikombe na amesaidia mambo mengi ikiwemo asasi yake ya Pambana Saidia Jamiii kiufupi anafahamika kwa wakubwa na wadogo amechangia sana chama hasa matawi ya hukoo kwenye kata mbalimbali....kifupi tu umjue