Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,574
- 272,320
- Thread starter
- #61
kwa sasa ni dhahiri hakuna namna yoyote ya kuzuia mabadiliko kyela
mwakyembe anapumulia mashine .
Ndikwega sauli kapita
Vipi Hugo Mwanyamaki kapita mkuu?
KYELA is my home, I have faith on the people over there!! They can make change, God be with them!!
Ha! Ha! Ha! kasesera mzee wa kitengo huku sauli mzee wa mipango , lazima kinuke !Hakuna mkuu, bado wanagombana mashabiki, wakubwa wao wameshindwa kuamua. Ajabu zaidi yeye kaenda Dar kwenye biashara zake huku kawaacha shabiki zake wakitaka kutoana roho.
Jana usiku kucha yalikuwa yakipigwa mabomu, wa kaskazini mwa jimbo wanamtaka Kasesela wakati wa kusini wanamtaka Saul Mwakafunga.
Patamu hapo, wewe subiria tu hawa Magamba.
ni kitendo cha aibu sana kwa mwakyembe kuhujumu redio ya wananchi inayosikika kyela nzima , mundamba , kapamisya , busale , katumbasongwe , ikolo , matema , ngyekye , hivi watu wote wakose redio kwa ajili ya fitna za mwakyembe ! umundu uju akatele fijo , ALILE KAKO .Naskia kafunga redio kyela