Mwanya, Uzuri wa asili

Mmmmh hapo nilipogongomea msumari mie napapenda sana zaidi ya mwanya, na hasa ile ya mwisho loooo:help:



Ha ha ha ha mie napenda mwanaume anayenyoa oooooooooooo ha ha ha ha Mpasua jipu usininukuu tafadhali eehhh tumeelewana dear??? Na usisome katikati ya misitari
 
...Ya kaizer tumuachie kaizeri tu, lol! Eti heartbreaker...bro wenye mwanya mashaallahu. Bana
 
Asante Mbu mie nina mwaya na nimeanza uziba kumbe ni urembo lol, kesho naenda kutoa haya mavyuma mdomoni :A S-key::A S-key::A S-key:
 
Asante Mbu mie nina mwaya na nimeanza uziba kumbe ni urembo lol, kesho naenda kutoa haya mavyuma mdomoni :A S-key::A S-key::A S-key:

wow...Maria Roza you are blessed! ondoa haraka hizo braces!!!
 
images

...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.

Nini mtazamo wako?


Mhhhh! Kumbe nawe una ugonjwa wa mwanya eeh!? Hahahahahahah LOL! Hivi karibuni nilimuona binti mmoja wa kibongo yaani mwanya wake umempendeza mno! halafu katika kila idara Muumba kampendelea guu la kukata na shoka, Jicho mhhhhh! na vinginevyo vyote vimeumbwa kwa upendeleo maalum na Muumba wetu. Yaani! Mhhhh! acha tu Mkuu Mbu. Nasikia siku hizi majuu wasio na mwanya "wanaununua" kwa bei mbaya kupitia kwa madentist wao maana wamegundua waliojaliwa kuwa nao unawapendeza sana.

YouTube - Nelly - Gone ft. Kelly Rowland
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mhhhh! Kumbe nawe una ugonjwa wa mwanya eeh!? Hahahahahahah LOL! Hivi karibuni nilimuona binti mmoja wa kibongo yaani mwanya wake umempendeza mno! halafu katika kila idara Muumba kampendelea guu la kukata na shoka, Jicho mhhhhh! na vinginevyo vyote vimeumbwa kwa upendeleo maalum na Muumba wetu. Yaani! Mhhhh! acha tu Mkuu Mbu. Nasikia siku hizi majuu wasio na mwanya "wanaununua" kwa bei mbaya kupitia kwa madentist wao maana wamegundua waliojaliwa kuwa nao unawapendeza sana.

...Shabaaasshhh! kaka umenifurahisha sana. Kumbe na hapa tunazungumza lugha moja?
Sema wewe bana, jamaa hawaamini maneno yangu humu. Yaani kama namuona huyo mrembo uliyemtaja, acha tu! ha ha ha...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
...mmnnnnhhh, nini tenaa?
Relax and enjoy the ride bana.

hahahah lol
haya bwana

mi nilichekwa sana
shule ya msingi ajili ya mwanya
leo nakutana na hii thread mmmhhh
natabasamu tuu na kufuatilia poster zote hahah lol
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hahahah lol
haya bwana

mi nilichekwa sana
shule ya msingi ajili ya mwanya
leo nakutana na hii thread mmmhhh
natabasamu tuu na kufuatilia poster zote hahah lol

...keep on smiling, mwanya urembo adimu huo!
You are truly blessed!
 
...Shabaaasshhh! kaka umenifurahisha sana. Kumbe na hapa tunazungumza lugha moja?
Sema wewe bana, jamaa hawaamini maneno yangu humu. Yaani kama namuona huyo mrembo uliyemtaja, acha tu! ha ha ha...

Hahahahaha LOL! Mbu! miye nashangaa sana wanaosema kwamba mwanya ni ukilema. Nimejaribu kuwakumbuka watu ninaowafahamu kwa haraka haraka wake kwa waume waliojaliwa kuwa na mwanya na wote unawapendezesha sana.
300h.jpg
 
Hahahahaha LOL! Mbu! miye nashangaa sana wanaosema kwamba mwanya ni ukilema. Nimejaribu kuwakumbuka watu ninaowafahamu kwa haraka haraka wake kwa waume waliojaliwa kuwa na mwanya na wote unawapendezesha sana.
300h.jpg


Nakunong'oneza wasisikiii eti wewe una mwanya??
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahaha LOL! MR Mzima wewe!? Niliukosa kidogo tu maana uko pande zote mbili :)
 
Back
Top Bottom