pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,035
- 15,242
Da! umejitathimini wakati unaandika kweli??Hata hivyo nyota na mvuto wake unang’aa sio tu Mbeya bali kote Nchini. Karibu majimbo yote ya Mbeya yanamhitaji awe mwakilishi wao! Awali ilielezwa angegombea Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, kisha tukasikia anaenda jimbo la Rungwe baadae ikawa Busokelo kisha tukasikia tetesi anahitajika Kyela lakin saivi mwangwi wote ni Mbeya mjini!