naonambali
Member
- Oct 17, 2012
- 32
- 17
Kama RAIA niko njia panda pale rais na waziri ktk ofisi ya rais wanapotofautiana hadharani na kuonekana kawaida.
Hapo mmoja ni mzalendo na mwingine fisadi papa...majibu yanajielezaKama RAIA niko njia panda pale raisi na waziri ktk ofisi ya raisi wanapotofautiana hadharani na kuonekana kawaida.
Ripoti na nyaraka zote zipo mitandaoni, soma uelewe. Kusubiri mtu fulani aseme ni dalili ya uvivu.
Ripoti na nyaraka zote zipo mitandaoni, soma uelewe. Kusubiri mtu fulani aseme ni dalili ya uvivu.
Kama ulimsikiliza vizuri Mwandosya Fedha ni za Umma na TENA kama ulimsikiliza vizuri Kikwete Fedha ni za Umma. JK amelithibitishia taifa kama RAIS kwamba mgogoro wa Tanesco na IPTL haujaSULUISHWA. Maneno mengine yote ilikuwa ni mistari tu ujumbe ni kwamba SULUHISHO BADO!!! so fedha zitarudi hata kama yeye hatokuwepo madarakani ZITARUDI.........!Kama RAIA niko njia panda pale raisi na waziri ktk ofisi ya raisi wanapotofautiana hadharani na kuonekana kawaida.
Kwani mwandosyo unamuona yupo sawa ukimpima kichwani utakuta umeme umepungua tu.Kama RAIA niko njia panda pale rais na waziri ktk ofisi ya rais wanapotofautiana hadharani na kuonekana kawaida.
Nikiona mtu kama wewe bado unabishania kuwa uma au siyo umma najua wewe tahila pasipo shaka make ukweli umeelezwa vema ukichoka kuongopewa unaweza kusoma hata wewe ripoti ya CAG inajieleza vema.Kama ulimsikiliza vizuri Mwandosya Fedha ni za Umma na TENA kama ulimsikiliza vizuri Kikwete Fedha ni za Umma. JK amelithibitishia taifa kama RAIS kwamba mgogoro wa Tanesco na IPTL haujaSULUISHWA. Maneno mengine yote ilikuwa ni mistari tu ujumbe ni kwamba SULUHISHO BADO!!! so fedha zitarudi hata kama yeye hatokuwepo madarakani ZITARUDI.........!
Kwani mwandosyo unamuona yupo sawa ukimpima kichwani utakuta umeme umepungua tu.
Kwahiyo watu wakitofautiana na wewe akili yako inaganda kufanya kazi? Mwandosya umeme umepungua kichwani.Tatizo langu sio kuelewa yupi anasema kweli, Ila ni wao kutofautiana and nothing happens
Na alieleza swali je pesa tu, tangu lini Benki Kuu wakatunza pesa zisizokuwa za umma?Kwani mwandosyo unamuona yupo sawa ukimpima kichwani utakuta umeme umepungua tu.
Hapo mmoja ni mzalendo na mwingine fisadi papa...majibu yanajieleza
Nikiona mtu kama wewe bado unabishania kuwa uma au siyo umma najua wewe tahila pasipo shaka make ukweli umeelezwa vema ukichoka kuongopewa unaweza kusoma hata wewe ripoti ya CAG inajieleza vema.