Ni kama Mwalimu wanasema:
Mwalimu:Unaonekana una Busara sana na akili za kuchambua mambo,Embu Yule kijana ambaye alikuwa juu yako kama waziri unamuonaje anavyofanya kazi?
Mwandosya:hayuko serious,mambo anayofanya wakati mwingine huwa nashanga sana,Mwali wewe unamuonaje?
Mwalimu: Mie aliniambia ana ndoto ya kuwa kiongozi,nikamuulizi wa namna gani na wapi anataka kuongoza,akaniambi atakuja tuongee,ile nimesikia sikia ana rafiki mmoja na wana mipango na Urais.Rafiki yake ni bepari na sijui katoa wapi pesa alizonazo
Mwandosya: agh agh ha ha,
Mwalimu: Nimeshamaliza,kuweni makini na hawa watu