Mkuu hata kucha inaweza kukupeleka ICU nawashangaa binadamu wenye kiburi na majivunoKichwa tu ndio iwe sababu yakulazwa ICU? pole kwake Mungu ampe uzima arudi kulitumikia Taifa na Familia yake
Mmmmmm!Mkuu hata kucha inaweza kukupeleka ICU nawashangaa binadamu wenye kiburi na majivuno
Nawewe ni wale wale ikiwa ww unaelewa vzr funguka hapa muda wakwenda kumtafuta dr watu tunatoa wapiInaonesha wewe ni kinda sana, unakielewa kichwa? Hujui hata ubongo uko kichwani?
Muulize daktari kichwa ni nini kisha urudi ukoment “kichwa tu”
Jiwe na mwandani wake waliposwa kusoma hii comment yakoMkuu hata kucha inaweza kukupeleka ICU nawashangaa binadamu wenye kiburi na majivuno
Hiyu ndugu yuko wapi?Mmmmmm!
Hata Bisanya, taarifa yake ilikuja kimzaha mzaha hivi hivi!
Nawewe ni wale wale ikiwa ww unaelewa vzr funguka hapa muda wakwenda kumtafuta dr watu tunatoa wapi
Tena ni hatari sana hayo maumivuKichwa tu ndio iwe sababu yakulazwa ICU? pole kwake Mungu ampe uzima arudi kulitumikia Taifa na Familia yake
Unasemaa?Wasiojulikana wamebadilisha mbinu.