Nami nilikuwa mpenzi mkubwa wa gazeti la JITAMBUE,nilijifunza mengi sana jinsi ya kuishi na watu,na hasa kuwasaidia usiowajua,kupitia kwake nilijifunza kuwa wema unalipa,wema ni akiba.niliumizwa sana na kifo chake,kama sikosei JITAMBUE lilikuwa linatoka siku ya alhamis,nilikuwa naweka order kabisa,nakumbuka siku naenda kuchukua gazeti,nikaambiwa mtunzi amefariki,nafsi yangu iliugua sana.hata hivyo ameniachia hazina kubwa ya mafundisho yake.RIP MUNGA TEHENAN.