kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,104
Ukisema uandishi wa mashairi adhimu katika HIP HOP Fid q ni Baba lao na ukizungumzia msanii wa HIP HOP mwnye flow nzuri kuliko yeyote ni CHID BENZI
Nipingwe kwa hoja kama kuna ulazima
Nipingwe kwa hoja kama kuna ulazima