Mwanaume yupi anafaa?

Lady of Destiny1

JF-Expert Member
Feb 4, 2019
588
852
Habari zenu wapendwa wa Jf, heri ya mwaka mpya 2020

Naombeni mawazo yenu hapa

Un mwanaume ambaye yupo vizuri sana 6*6 yani ukikutana naye unahisi dunia ni ya kwako ("kwa kifupi mwanaume anayeyajua mapenzi na kuyamudu) Una mpenda na una hisia naye sana, yani ni ile ukimuona tu hata ajakugusa wewe unatetemeka.

Ila mbahili sana pamoja na kuwa na kazi nzuri , hakuhudumii kwa maana ya hata vipesa vya kusuka, tu powder na mafuta siku moja moja, hakutowi out yani kwa kifupi ni mbahili.

Au mwanaume ambaye humfili yani humpendi sana hakuvutiii sana wala huna hisia naye kihivyo , ila akiwa na hela (anapambana tu mtaani hana ajira rasmi) ata jitahidi kukutoa out, atakuletea zawadi, atakuletea mahitaji mpaka ya nyumbani kwako
Ila ndo hivyo sasa mizuka naye ipo very down una ng'an'ana na bahili wako.

Hii ishu imemtokea staff mwenzangu yupo njia panda wote wapo tayari kumuoa ila sifa zao ndo hizo, Anataka afanye maamuzi sasa ili kati ya hawa wawili apatikane mchumba rasmi ananiuliza ngekuwa mimi ningefanyaje?

Hebu tumsaidie ndugu yetu huyu???


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote uliyoongea hayaleti maana ya mapenzi
Ikumbukwe sex Ni kitendo Cha dakika
Ila kunayo mengine yakufanya zaidi ya sex anyway
Me Ni mwanaume na SIWEZI kua baili kwa mwanamke nnaempenda(SIWEZI kuwa wazi kwako Kama sikupend)
Hivyo aangalie mwenyewe kwasababu Nia ya mtu anayo moyoni mwake!

kelphin kepph
 
Ukweli mtupu, ur right broo
Yote uliyoongea hayaleti maana ya mapenzi
Ikumbukwe sex Ni kitendo Cha dakika
Ila kunayo mengine yakufanya zaidi ya sex anyway
Me Ni mwanaume na SIWEZI kua baili kwa mwanamke nnaempenda(SIWEZI kuwa wazi kwako Kama sikupend)
Hivyo aangalie mwenyewe kwasababu Nia ya mtu anayo moyoni mwake!

kelphin kepph

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom