Mwanaume wiki hufui boxer


asante sana......kumbuka kwa matendo icje ikawa maneno...kwa namna moja au nyingine itakuwa imekugusa bila shaka
 
I beg to differ. Usafi ni jukumu la mtu binafsi. Huo utegemezi wa kufanyiwa Na gf/wake zetu ndio unatuumiza. Siku akikosekana unaonekana kituko mtaani. Kwani wazazi hawakutufundisha kujitegemea katika usafi wa miili na mavazi yetu?
Untill that day....things has to be done for him!
Hata kazini mtu asipokuwepo haimaanishi kazi isifanyike Mkuu!
kama hata kuwepo things has to be done in advance!
 
Unawapiga watu chobo wakiwa wanaoga, wakati anavua ngu wewe unakuwa wapi na kuona hayo yote labda useme unabadilisha mmoja baada ya mwingine.

sio chabo mkuu..vijana wanavaa kata kei..kuonesha nguo zao za ndani au we hujui hilo
 

Jamani usiwe ugomvi basi....ambao hawafui watafua, Kilambalambila ameshasema, basi kwa heshima na taadhima, tuwaombe radhi akina Lady Chagga na wenzie, kwa kuwa imewaumiza sana, na inawezekena wamejaribu kuvumilia leo wameshindwa. na mkeo akikwambia humridhishi usikimbilie kulia, dawa ni kuongeza ujuzi,

Kuanzia leo tutakuwa tunavaa Boxer BM150 na SANLG zikiwa swaafi, na hatutatenga za kugegedana kama na nyie hamtatenga.

Kwa msamaha huu basi ninaomba hii thread iishie hapa.
 
nifue boxer kwan dem kazi yake nn?? nihangaike kusaka hela na yy lazima atoke kwao aje kunifulia kila wkend
 
Hahaaaa... naona visasi vinalipwa...
Sasa binti kucha mpaka nyayo unasafishwa na machinga, huko ndani pana hali gani?, na wewe utajiweka kwenye kundi la wasafi kweli?
 
sio chabo mkuu..vijana wanavaa kata kei..kuonesha nguo zao za ndani au we hujui hilo

Ahaa, sasa nimekupata Mkuu, lakini hao wa kata kei, sio boxer tu ndizo chafu, wengine ukifika vyumbani kwao ndo utaona soksi, mashuka na foronya zilivyobadilika rangi zake, ukiingia chumbani kwao lazima uvae nguo kama zile za wahudumu wa vituo vya Ebola.
 
asante sana......kumbuka kwa matendo icje ikawa maneno...kwa namna moja au nyingine itakuwa imekugusa bila shaka

yeah kilichonigusa ni kwamba KUNA WANAUME WANAVAA BOXER WIKI NZIMA BILA KUFUA.....mimi ni mwanaume na nimesikitika sana kwa hali hio......but trust me i only wear a boxer for 12 hrs!!! na sirudii.....asubuhi mpaka jioni usiku nalala na pj/bukta kubwa
 
yeah kilichonigusa ni kwamba KUNA WANAUME WANAVAA BOXER WIKI NZIMA BILA KUFUA.....mimi ni mwanaume na nimesikitika sana kwa hali hio......but trust me i only wear a boxer for 12 hrs!!! na sirudii.....asubuhi mpaka jioni usiku nalala na pj/bukta kubwa

ili hewa ipite
 
Hua wanaboa sana ukizingatia pia hakuna mwanamme anayeosha uume baada ya kukojoa boxa inabaki na mikojo sasa ikifikia wiki ndo balaa boxa kama choo mijitu mizima ovyooo
 
Ni huyo mwanaume uliyekutana naye ni mchafuuu mimi navaa boxer kila ninapooga nilazima nibadrishe sasa inategemea nimeoga mara ngapi ila usi generalize wanaume wote nihuyo uliyekutana naye kama ni wamgodo nakubaliana naye kwani kazi zao hawana nafasi!Sawa taru hata nyie nina record yenu Brazia nyie mnavaa wiki kataa??hata wewe uliyovaa siyo yaleo!
 
Last edited by a moderator:
Ahhhh Taruuuu.......
1. Boxer haijafuliwa ukungu si ukungu halafu anakuambia umnyonye pata picha...
2. Boxer haijafuliwa halafu amepiga mlegezoo







 
Ahhhh Taruuuu.......
1. Boxer haijafuliwa ukungu si ukungu halafu anakuambia umnyonye pata picha...
2. Boxer haijafuliwa halafu amepiga mlegezoo

yaaani mtu yu hai kivundo hatari.....rangi nyeupe inakuwa ya ugoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…