I beg to differ. Usafi ni jukumu la mtu binafsi. Huo utegemezi wa kufanyiwa Na gf/wake zetu ndio unatuumiza. Siku akikosekana unaonekana kituko mtaani. Kwani wazazi hawakutufundisha kujitegemea katika usafi wa miili na mavazi yetu?Men were made to be managers(getting things done through others)....why should i fua? wakina Hawa hawapo? wameisha? Hata kama sijaoa they will have to do that for me as long as natafuta wanachokitaka!
Umeniona km sifui
halooooo unamkuta mkaka smart ya mavazi ya nje ngoja avue sasa haujui hii boxer nyeupe au rangi ya maziwa ni shaghalabagala tuu... Na sio boxer tu hata kunyoa nywele za kwapanii kaaa usiombe avae singilendi na anapanda daladala jaman mnatuua . Unakuta mkaka mzuri hehe ngoja anyanyue mikono utaomba konda akwambie we rudi nyuma.
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa me,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa ke peke yao au? Mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi me tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! Lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
Unawapiga watu chobo wakiwa wanaoga, wakati anavua ngu wewe unakuwa wapi na kuona hayo yote labda useme unabadilisha mmoja baada ya mwingine.
Wengi hawafui nguo zao za ndani wanavaa week nzima na kwapani na downstairs hawanyoi yani kuna kua kama misitu ya Amazoni harufu lake sasa unaweza kuugua kabisa badilikeni na muwe wasafi
Bora sisi kama...beberu nyie ni zaidi ya vibudu....sometimes nzi wa kijani anawafata.....
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.Jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.Kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.Jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.Kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.Jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.Kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
Nijuavyo Ni Kwamba KENDE au ( MBUPU ) Zetu Sisi Wanaume Zinanuka Mno Kama Usafi Wa Mwili Na PICHU Zetu Hautazingatiwa Basi Kuna Hatari Kubwa Sana. Na Ni Kweli Sisi MIDUME Wengi Ni Wavivu Kuzifua Hizo Boksa Zetu Na Hata Kama Tukizinunua Tunanunua Za Rangi Ya Bluu Na Nyeusi Na Wengi Wetu Tunaogopa Kununua Za Rangi Nyeupe Kwa Sababu Ya UDAMPO ( UCHAFU ) Wetu. Habari Ndiyo Hiyo!
Bora sisi kama...beberu nyie ni zaidi ya vibudu....sometimes nzi wa kijani anawafata.....
habari zenu wanajukwaa...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,na si kwa galz tu.Jitu lajitia umaradadi nje kumbe boxer nayo ni shida kufua kutwaa unasogoa kijiweni hata mda wa kuswafi nguo yako ya ndani ni shidaaaaah,inasikitisha kwa kweli.Kumbuka fangasi inakunyemelea mda c mfupi.other wise uwe na pants as galz nyingi kama ni mvivu wa kufua kila cku..chagua wikiend ufue rundo lako..boxer moja then kurudia na hili joto letu la Dar ndo usiseme kitu pwiyaaaaa!!! lol ni hayo tu plz gyz be smart in and out.
inamaana huyu mtoa maada ni ke?
...mimi nna somo kwa hawa ME,hivi usafi wa nguo ya ndani kila cku ni kwa KE peke yao au? mana kiroja cha mwaka janamme zma linasema kutokana na maumbile yetu sisi ME tukivaaa boxer hata cku tatu ni sahihi...mi hoi kuckia hivyo,swali nyinyi hamtoi uchafu wa mwili au vp wenzetu..hamhisi uvundo..haijalishi hali ya hewa ikoje..usafi unaitajika kila wakati jamaniii,
jichunguze looh utakuwa na shida sana.....afu ooh dem cmuelewi huyu mwanzo tulikuwa sawa lkn saiv dah...kaa tafakari ilo nalo laweza kuwa tatizo kaka.Mimi mka wikibili ninayo tu. Hahahaha
Marhaba binamu. Leo umeniamkia wataka kuninyima kitu eeeeh!!