Mwanaume wa ukweli hafanyi hivi

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Nov 2, 2012
1,224
1,249
Habari wanaJamiiForum, natumai nyie ni wazima sana.

Kwa wale wanaume wa ukweli leo nawaasa waache kufanya mambo haya yafuatayo;

1.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na marafiki wa mke wake,au mpenzi wake.

2.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na mdogo wake au dada wa mke wake.

3.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na housegirl wake.

4.Mwanaume wa ukweli hapigi punyeto.

5.Mwanaume wa ukweli akiachana mpenzi au mke harudi nyuma anamtafuta mwingine ambaye anajua atakidhi mahitaji yale ili suala la kubreak up halafu unajipendekeza tena halina mantiki.

Ongezeeni na nyie sifa za mwanaume wa ukweli aweje mchana mwema
 
Habari wanajamii forum natumai nyie ni wazima sana
kwa wale wanaume wa ukweli leo nawaasa waache kufanya mambo haya yafuatayo
1.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na marafiki wa mke wake,au mpenzi wake
2.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na mdogo wake au dada wa mke wake
3.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na housegirl wake
4.Mwanaume wa ukweli hapigi punyeto
5.Mwanaume wa ukweli akiachana mpenzi au mke harudi nyuma anamtafuta mwingine ambaye anajua atakidhi mahitaji yale.....ili suala la kubreak up halafu unajipendekeza tena halina mantiki
Ongezeeni na nyie sifa za mwanaume wa ukweli aweje..........mchana mwema
mwanaume wa kweli ni yule anayeweza kutimiza mahitaji yooote ya mwanamke wa ukweli.
 
mwanaume anapimwa kwenye mahusiano? hizi ndio akili za wanawake wanaotegemewa kuolewa na kuwekwa ndani.PUMBAVU
 
Kuna mmoja huku mkoani ni rc anajiita yeye ndiyo mwanaume mwanza nzima lakini ni mmbea kweli ana mipasho noma
 
hayo yote mbona yanalenga kutumia chura tu? ina maana wanaume wakweli ni watumiaji wa vyura tu? kuwa serious umetudhalilisha aisee.
huu msemo wa chura huwa unanichanganya,chura huwa mnamaanisha nn
 
Back
Top Bottom