Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,249
Habari wanaJamiiForum, natumai nyie ni wazima sana.
Kwa wale wanaume wa ukweli leo nawaasa waache kufanya mambo haya yafuatayo;
1.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na marafiki wa mke wake,au mpenzi wake.
2.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na mdogo wake au dada wa mke wake.
3.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na housegirl wake.
4.Mwanaume wa ukweli hapigi punyeto.
5.Mwanaume wa ukweli akiachana mpenzi au mke harudi nyuma anamtafuta mwingine ambaye anajua atakidhi mahitaji yale ili suala la kubreak up halafu unajipendekeza tena halina mantiki.
Ongezeeni na nyie sifa za mwanaume wa ukweli aweje mchana mwema
Kwa wale wanaume wa ukweli leo nawaasa waache kufanya mambo haya yafuatayo;
1.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na marafiki wa mke wake,au mpenzi wake.
2.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na mdogo wake au dada wa mke wake.
3.Mwanaume wa ukweli hawi na mahusiano na housegirl wake.
4.Mwanaume wa ukweli hapigi punyeto.
5.Mwanaume wa ukweli akiachana mpenzi au mke harudi nyuma anamtafuta mwingine ambaye anajua atakidhi mahitaji yale ili suala la kubreak up halafu unajipendekeza tena halina mantiki.
Ongezeeni na nyie sifa za mwanaume wa ukweli aweje mchana mwema