Mwanaume wa ndoto yangu

"mimi siyo wala sijawahi kuwa malaya kama hutojali ni check kwenye 0768074172
 

Bahati sifa mbaya namba mbili nimekosa!
 
Umalaya n tabia haibadiliki,kama n malaya ataendelea kua vile vile utakoma
 
Wewe ni Kiranga na una kiherehere.Mwanakulitafuta mwanakulipata.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni Kiranga na una kiherehere.Mwanakulitafuta mwanakulipata.

Usilitaje jina la Kiranga bure.

Unaweza kutumia Kiranga kama neno, lakini ukitaka kuni tag, hakikisha kuna sababu ya kunitag mimi Kiranga the person, as opposed to kiranga the word.

Else the dean will blast your greens to smithereens and gangrene your unclean routine. Knowwhattamean feen?

And while I sort this, best think of rigor mortis, prepare the dhoti or koti. I feel sorry if you are not forty with a hottie's goatee, clowning like Joti with no noti, Kiranga quoting Big Pun style when I flow this.
 
Last edited by a moderator:
Ahahahahah!Mkuu nisamehe bure nilikuwa namaanisha neno kiranga kama mtu machepele hivi.Halafu iyo mineno yako nilipokoleza kwa wino mwekundu inabidi nitafute kamusi kwanza na kama umenitukana mwenyewe.
 
Hili mpja nahisi utakua umeosea..number 2..dada!...au umesahau ule usemi usemao...kilema hakina dawa?...
 
Ahahahahah!Mkuu nisamehe bure nilikuwa namaanisha neno kiranga kama mtu machepele hivi.Halafu iyo mineno yako nilipokoleza kwa wino mwekundu inabidi nitafute kamusi kwanza na kama umenitukana mwenyewe.

Usikonde,

Najaribu kuangalia kila post ninayokuwa tagged, sasa nikipoteza muda kuangalia halafu nakuta hainihusu ni mshashi tu ananichokora kwa kutumia neno kiranga kama tag ya jina langu inakuwa siyo fresh.

Hayo maneno nilikuwa nakupa onyo kwamba ukirudia rudia unaweza kupewa uchaguzi wa koti au dhoti, as in uamue uzikiwe ipi, in Big Pun style of flow and much braggadocio.

R.IP Big Pun.
 

umenipata tayari,,,,pm tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…