Mwanaume wa ndoto yangu


🙂 Unahitaji mwanaume kama huyujapokuwa namba 3 hajafikia huko..
 
Mkuu ukiamua kubisha we bisha tu, ila mapenz ya kweli hayagawanyiki, ukiona mtu anagawa mapenzi ujue hapo kuna walakini..
ndugu, acha haya madhaifu yakujengewa... Allah ameshatupa nafasi katika kitabu, tuoe wawili, au watatu au wanne ama tukiwa dhaifu(kama unavyosema mapenzi hayagawanyiki) na uoe mmoja tu!
 


All the best...wewe huhitaji magari na nyumba za maghorofa na safari za ulaya na marekani fasta fasta! It pays to go for what you are looking for. Ila we live in a materiliastic world.Nakupongeza kwa kuangalia mambo tofauti.
 
Ni nini hasa unachohitaji katika maisha!?, what is your main objective?
 
Nimekuelewa mkuu..umeshapata.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…