Mwanaume wa kuanza nae maisha

Betsam

Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
21
Reaction score
22
Habari zenu wadau,
mimi ni binti wa miaka 27 natafuta mume awe mkristo mwenye Hofu kubwa ya Mungu.. Mtafutaji na mkarimu. Asiwe mkali au mkorofi.. miaka kuanzia 28 -35 mrefu kiasi.
Mimi naishi Dar, na elimu yangu ni kiwango cha degree.
alie tayari na mwenye nia tutafutane DM.

Asanteni sana.
 
Watakuja wengi sana lakini jaribu kumshirikisha MUNGU utapata aliye chaguo sahihi coz MUNGU wetu ni wa upendo hapendi kuona mtoto wake apotee
 
Madhara ya kumpenda mtu bila kumuona ni makubwa sana.. Ina maana hapa lengo mpaka litimie lazima muonane.. Akikutosa utakuja tena kuandika huku
 
[emoji23][emoji23]kila la kheri....ila unaomba mwenye hofu ya Mungu we unayo.....? Mshirikishe Mungu !!
 
Vipi hapo mtaani umekosa kabisa
 
Kwa vigezo hivyo, labda upeleke oda kwa Mungu
 
UKI HITAJI MWANAUME WA KUMALIZA NAYE MAISHA NIFUATE PM.....
 
Watakuja wengi sana lakini jaribu kumshirikisha MUNGU utapata aliye chaguo sahihi coz MUNGU wetu ni wa upendo hapendi kuona mtoto wake apotee
Amen, asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…