Mwanaume wa JF mliooa...

Mwanaume wa JF mliooa...

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Ulijuaje kuwa huyu ndio wifey, kati ya vishtobe vyako,nani ulimuona wife material and she deserve a ring?
 

Attachments

  • 10574350_837718016240010_2491965357487112452_n - Copy.jpg
    10574350_837718016240010_2491965357487112452_n - Copy.jpg
    17.4 KB · Views: 52
Mara kadhaa nikimuudhu alikuwa analilia chumbani na akitoka tu kibalazani anacheka na mashost zake kama dk1 iliyopita hatujapishana maneno hakika mke wangu ni mvumilivu na msiri sana...Nisingemuoa ambae angemuoa ningemuonea wivu.
 
Alikuwa msafi na akanifanya niwe na mwonekano mzuri kiasi cha mademu kuanza kunishobokea ..nikaona nikimuacha nitajikuta narud Enzi zang za u-hardcore mademu niwasikie kwenye bomba.
 
Anajali even when Im broke and confused, Ana uvumilivu na hatetereki muda wote ana uso wa furaha hata uchumi ukiwa ovyo kiasi kwamba ananiambukiza matumaini na faraja akiwepo, ni mshauri mzuri, sio mchoyo, tunapatana automatically, ananiheshimu na mengine mengi.
 
Back
Top Bottom