madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 326
- 391
MWACHIE MBELE YA WATOTO NA UMWAMBIE NA MATUMIZI YAKE, NA WATOTO WASIKIE, USIJE KUISHI MAISHA YA UPWEKE UZEENI.








MWANAUME
Unamwachia mkeo hela ya chakula chumbani. Mke anatoka na kapu, anaenda kununua chakula. Anapika, anawaambia watoto, "njooni wanangu mle. Nimewapikia chakula kitaaamu!" Watoto wakishakula Wanasema "Asante Mama".
MWANAUME
Unamwachia mkeo hela ya nguo za sikukuu chumbani,
Kesho yake anatoka kwenda kununua nguo. Akirudi anawaambia, "wanangu nimewanunulieni nguo za sikukuu, njooni mjipimie!" Watoto wakishajipima, anawaambia, "Wanangu mmependeza eeeh! Si mnaona ninavyowapenda!?" Watoto wanafurahi na kusema, "Asante Mama".
MWANAUME
Kila aina ya pesa ya matumizi unamwachia mkeo chumbani...
MWANANUME
Ukifika muda wa kutoa ada unamkabidhi mkeo hela chumbani. Kesho yake mkeo anawaambia watoto kuwa anaenda kuwalipia ada ya shule. Akirudi anawaambia, "Wanangu nimeshawalipia ada, na gari za shule zitakua zinawapitia. Nataka msome wanangu ili baadae mje mnitunze". Watoto wanasema, "Asante Mama".
KIBAYA ZAIDI:
Ukifika muda wa kutoa adhabu, mkeo yeye hatoi adhabu. Anawaambia Watoto, "ngoja baba yenu arudi!" Na wewe ukirudi unaelezwa na mkeo matatizo ya wanao. Unachukua bakora unawaadhibu watoto bila kujua kuwa unazidi kujenga uhusiano M'BAYA na Wanao.
NGUMU KUMEZA
Ukifika uzeeni, watoto wako hawana KUMBUKUMBU yoyote Ya mema uliyowafanyia.
NA UKUMBUKE KUWA:
MTOTO ANAANZA KULISHWA SUMU YA MANENO KUTOKA KWA MAMAYAKE KUANZIA UMRI WA MIAKA 9 HADI 15.
MWANAUME KUWA MAKINI SANA
ZINGATIA HAYO KWA MAISHA YA UZEENI.








MWANAUME
Unamwachia mkeo hela ya chakula chumbani. Mke anatoka na kapu, anaenda kununua chakula. Anapika, anawaambia watoto, "njooni wanangu mle. Nimewapikia chakula kitaaamu!" Watoto wakishakula Wanasema "Asante Mama".
MWANAUME
Unamwachia mkeo hela ya nguo za sikukuu chumbani,
Kesho yake anatoka kwenda kununua nguo. Akirudi anawaambia, "wanangu nimewanunulieni nguo za sikukuu, njooni mjipimie!" Watoto wakishajipima, anawaambia, "Wanangu mmependeza eeeh! Si mnaona ninavyowapenda!?" Watoto wanafurahi na kusema, "Asante Mama".
MWANAUME
Kila aina ya pesa ya matumizi unamwachia mkeo chumbani...
MWANANUME
Ukifika muda wa kutoa ada unamkabidhi mkeo hela chumbani. Kesho yake mkeo anawaambia watoto kuwa anaenda kuwalipia ada ya shule. Akirudi anawaambia, "Wanangu nimeshawalipia ada, na gari za shule zitakua zinawapitia. Nataka msome wanangu ili baadae mje mnitunze". Watoto wanasema, "Asante Mama".
KIBAYA ZAIDI:
Ukifika muda wa kutoa adhabu, mkeo yeye hatoi adhabu. Anawaambia Watoto, "ngoja baba yenu arudi!" Na wewe ukirudi unaelezwa na mkeo matatizo ya wanao. Unachukua bakora unawaadhibu watoto bila kujua kuwa unazidi kujenga uhusiano M'BAYA na Wanao.
NGUMU KUMEZA
Ukifika uzeeni, watoto wako hawana KUMBUKUMBU yoyote Ya mema uliyowafanyia.
NA UKUMBUKE KUWA:
MTOTO ANAANZA KULISHWA SUMU YA MANENO KUTOKA KWA MAMAYAKE KUANZIA UMRI WA MIAKA 9 HADI 15.
MWANAUME KUWA MAKINI SANA
ZINGATIA HAYO KWA MAISHA YA UZEENI.