Mwanaume usimuumize mwanamke

Mwanaume usimuumize mwanamke

Mmekula maharage ya wapi mbona kipindi choye hili cha uchaguzi mnaandika threadcza huruma huruma tu 😕😕
 
Ni kweli Mwanamke (mwenye sifa njema za kike) sio wa kuumizwa kamwe kwsbb Mungu anahesabu kila chozi la Mwanamke,kwanza ni viumbe dhaifu.

ILA sio kila anayeitwa mwanamke basi ni mwenye sifa njema na atapata mtu wa kumtreat vizuri. Ukijiheshimu na kumheshimu Mumeo hata Mungu atakuheshimu.

Leo mkuu umenifurahishaa ubarikiwe! Busara hiyo iendelee
 
Kwa kwel haijawah kutokea akaniumiza zaidi ya siku amenibikiri..zaidi ya hapo sisi ni furaha tuu

eeh kumbe kaka SUMBAI amepata kifaa brand new ! amefungua makaratasi mwenyewe...
kaka@sumbai njoo kwa mkeo huku cute b
 
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe

Modern way of thinking. Wanawake wengi siku hizi vichwa panzi, huo ndio ukweli. Beijing imeangusha taasisi ya ndoa. Mnisamehe kama nimekukwazeni lakini ukweli lazima usemwe. Tusipakane mafuta kwa mgongo wa chupa!
 
Ukiwa hujui gereza, unahaki ya kuamini wote waliomo ni wakosaji !!
 
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe

Ongezea na hii
 

Attachments

  • 1444935299583.jpg
    1444935299583.jpg
    52.5 KB · Views: 185
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe

Una practice uliyoyaandikaaa lakini?!
 
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.
Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe
:thumbup:
 
Back
Top Bottom