Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Mwanaume ukiamua kujipenda wewe mwenyewe kwanza unapunguza hatari ya kula papuchi kwa gharama kwa asilimia [emoji817],hivi unajua kuwa muonekano huongeza uwezekano!?
Ipo hivi ukiongea hata kwa bahati mbaya kuwa una milioni 100 kwenye akaunti yako ya benki kwa watu ambao hawakufamu cha kwanza kabisa wataangalia muonekano wako je?
Umekaa kipesa pesa ama umepauka? Lengo kuu ni kutathimini kile unachosema kinalingana na muonekano wako. Imagine unakutana na mtu amevaa saa ya milioni moja,ana simu ya 2milioni,amevaa kiatu cha laki 5,amevaa cheni ya laki 5 kwa akili ya haraka haraka utasema huyu mtu ana pesa hata kama hana!
Mwanaume acha ujinga wa kuhonga kijinga fanya hivi chukua hicho kimilioni ama kilaki tano unachotaka kuhonga kajipige shopping wewe mwenyewe,yaani kadri unavyozidi kujipiga shopping ndio unavyozidi kula papuchi za bure!
Na ikifika hatua ukajichanga ukanunua kigari cha kuzungukia mjini ndio utazidi kula papuchi kwa 0 cost!
N:B,Jipende ule papuchi za bure
Ipo hivi ukiongea hata kwa bahati mbaya kuwa una milioni 100 kwenye akaunti yako ya benki kwa watu ambao hawakufamu cha kwanza kabisa wataangalia muonekano wako je?
Umekaa kipesa pesa ama umepauka? Lengo kuu ni kutathimini kile unachosema kinalingana na muonekano wako. Imagine unakutana na mtu amevaa saa ya milioni moja,ana simu ya 2milioni,amevaa kiatu cha laki 5,amevaa cheni ya laki 5 kwa akili ya haraka haraka utasema huyu mtu ana pesa hata kama hana!
Mwanaume acha ujinga wa kuhonga kijinga fanya hivi chukua hicho kimilioni ama kilaki tano unachotaka kuhonga kajipige shopping wewe mwenyewe,yaani kadri unavyozidi kujipiga shopping ndio unavyozidi kula papuchi za bure!
Na ikifika hatua ukajichanga ukanunua kigari cha kuzungukia mjini ndio utazidi kula papuchi kwa 0 cost!
N:B,Jipende ule papuchi za bure