Mwanaume siku ukimjua Mwanamke

Mwanaume siku ukimjua Mwanamke

Umemaliza kila kitu mkuu mana tangu nianze kuona nyuzi za kila mtu anavyowazungumzia hawa wanawake kwa namna yake hali mradi kuwafurahisha nimekuja gudundua kila mtu anakuja na lake means hawaeleweki
 
Mke ukimuoa mmekuwa mwili mmoja japo nafsi tofauti....sasa kama nafurahisha mwili wangu kuna ubaya??
Mleta mada ulivyo wewe siyo km sisitulivyo...ke wenyewe wale wote tunawazidi umri..

Sasa itakuwaje umnyanyase mdogo kwako??? Weye ndo huna akili...
 
. Ukiwa na pesa kibaba hakijai lazima useme pesa yangu ni kwa ajili ya kuvaa na kulala..... Lkn ukiwa nazo lazima useme hili ni fungu la bebes hili fungu mashori na Hilo fungu langu na familia yangu
Hivo tu kijana
 
Back
Top Bottom