Mwanaume ni yupi hapa??

uwanaume upo pia katika kuangalia familia yako hinaweza kukubaliana na nini katika machaguoa yako unayoyapenda
kuhusu kupenda kuna wale wanaooa wana wake ambao hata hisia hazipo kwao ila wakifika katika ndoa hisia zinajizaa na kuwa mapenzi mazito ambayo hwakauweza kuamin,
 
uwanaume upo pia katika kuangalia familia yako hinaweza kukubaliana na nini katika machaguoa yako unayoyapenda<br> kuhusu kupenda kuna wale wanaooa wana wake ambao hata hisia hazipo kwao ila wakifika katika ndoa hisia zinajizaa na kuwa mapenzi mazito ambayo hwakauweza kuamin,
 
Mi nafikiri kwamba ndio maana kunakua na mke na hawara mke ni wa kuwa ndani na anakulindia heshima ila hawara ndio mambo ya
kuupa nafasi moyo na hii huwa ya muda mfupi tu kwani changu ni changu tu.huwezi kumbadilisha hata kidogo.
 
Kumbuka mwanaume ni yule mwenye maamuzi ya busara sana.....jamii ni kioo chetu lakini sio lazima iingilie masuala binafsi...kumbuka ndo huenda na upendo, uwezi, huruma na amani. Kama utaoa mke kwa kuipendezesha jamii huyo atakuwa mke wa jamii lakini kama unaoa mke kwa ajili yako chagua yule ambaye moyo wako unampenda nae anakupenda. Kumbuka wewe ndie utairudisha heshima yake kwa jamii kwa kumpenda na kumuheshimu....ukijenga familia bora people always tend to forget the past
 
nakushangaa unaoa ili kufurahisha jamii au unaoa kwa mapenzi uliyo nayo kwa huyo mwanamke?alikuwa maraya wakati huo hukuwa naye leo upo naye achana na hiyo jamii inayochunguza maisha ya watu
 
Kwa mtizamo wangu wa kwanza ndio mwanaume aliyefanya maamuzi magumu kwa kujali furaha yake yeye kwa kuamua kumuoa yule aliyempenda na kuona ndie anayefaa kuishi naye na kujenga familia,tukumbuke kwamba huyu mwanaume hakuamua from no where lzm alifanya utafiti wake na kugundua hata kama yule mwanamke ni malaya ana vitu vingi zaidi vya faida kwake kuliko sifa mbaya aliyonayo, pia atakuwa amegundua ana uwezo wa kumbadilisha kuwa mke bora either kutokana na sababu za mwanamke yule kuwa malaya na utayari wake wa kuacha hiyo tabia,kuliko mwanaume aliyeoa mke mwenye sifa zote wakati hampendi na uwezekano wa yeye kuwa malaya maisha yake yote upo wazi kwan ni lzm atatoka nje ya ndoa kumtafuta ampendae kwa thati.
 

Thank U 4 ths useful comment!
 

mmmh.. bila bila
 


Boss hio in Blue... most men look for that... But not in a wife. Wanaume wana kasumba kua aoe mke ambae atakua a good wife and a good mom pia and good house keeper as a complimentary akijua kabisa hata kama the above blue haitapatikana hapo hamna kitakachomkwamisha kupata... Why do you think mara nyingi guys hutoka na really hot gals but when you hear anaoa... anaenda kuoa binti mpole na mtaratibu ambae outing kwake ni at minimal... Why do you think guys hukimbilia kuoa proffession ya walimu?? IMO it is because most walimu ni mara chache huwa wale wake mcharuko... among other things....
 
Maamuzi yote mawili si ya kiume. Mwanaume atasubiri for the right candidate na si kuoa malaya au mtu asompenda.
 
Mi naona mwanaume anayeowa kwa ajili ya kuifurahisha jamii ni kawad sijui hipokriti
Hataki kukubaliana na ukweli kuwa huyo mwanamke sio chaguo lake bali ni chaguo la jamii
Anajaribu kuiaminisha dunia nzima kuwa he made the right choice wakati in reality ndani ya moyo wake wala hajaridhishwa

Follow your heart bana,let love lead your way
Sio kufa na tai shingoni eti kwa ajili ya familia,sijui jamii
 
mke ni zaidi ya upendo. umpende, fuatilia vigezo vingine kwa macho matatu na pia tazama jamii kiduchu
 
Maamuzi anayofanya mtu kwa kusukumwa nguvu ya kile kilichoko moyoni kwake ndio ninayoyaheshimu. Heshima ya ndoa ni upendo wa dhati kati ya wanandoa wenyewe na siyo upendo au heshima mnayopewa na jamii inayowazunguka. Kwa hiyo kuoa husukumwa na kupendana kwa watu wawili bila kujali mwenzake anaonekanaje mbele ya jamii anayotoka. Mimi nikiwa mdogo na wenzangu wenzangu wengi tuliokulia kijijini tulikuwa katabia ka kuiba miwa, maembe, ndizi n.k. mpaka tulipochaguliwa kwenda secondary na hatimaye university. Jamii ilituelewa hivyo wanaume kwa wasichana na ktk tabia hizo mabinti na wavulana tusingepata heshima yoyote. Kijana akitaka kuoa na kutafuta binti anayeheshimika katika jamii ni ngumu kumpata na hata mama yangu aliwahi niambia tafuta mwanamke utakayeona anakufaa huko huko mjini ila kwa hapa kijijini hamna tena wasichana wenye despline. Mke wangu niliye naye huko kwao naye alikuwa hivyo hivyo ila mimi nikampenda na tuko naye licha ya sifa mbaya ambazo yawezekana jamii ilimpa kutokana na tabia zake za ujanani.

Maamuzi ya kiume ndio hayo mkuu kwani upendo ni makubaliano ya watu wawili wanaopendana despite what .. hauhitaji kupigiwa kura na jamii au upende kile jamii inachokipenda.
 



King'ast na the boss wema anaonekana malaya kwa sababu ya umaarufu wake, wanaume wote anaotembea nao ni maarufu pia na kila akiwa na mpenzi lazima magazeti yaandike. Tujiulize kuna wadada wangapi wa umri wa wema wanabadilisha wanaume? tena kuzidi hata hao wa wema na wengine wameolewa tena ndoa za nguvu lakini bado wanapandishwa juu ya meza maofisini, ila hawasemwi kwani jamii haijui.

Kwa mtazamo wangu wema anaonekana malaya kwa sababu ya umaarufu wake na hivyo vibwana vyake ni maarufu pia. Lakini kuna watu tena wake za watu ungekua unamsoma mtu usoni alishatembea na wanaume wangapi utaona wema ni cha mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…