Mwanaume na mwanamke nani zaidi?

Mwanaume na mwanamke nani zaidi?

Mwanaume anaweza zaidi. Kwa sababu hata Adam alikaa muda mrefu sana bila kufanya mapenzi ingawa yeye na Hawa wote walikuwa wanazurura uchi bustanini mpaka pale Hawa alipovunja ukimiya na kusababisha kugegedwa.

Hahahahaha akili za usiku
 
habari zenu mabibi na mabwana,

nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu nimekosa jibu. Hivi kati ya mwanamke na mwanaume ni nani anaeweza kustahimili kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi?

Hii inawahusu wale ambao tayari wameshayajua au wameshaanza mahusiano ya mapenzi.

Naombeni mawazo yenu na uelewa wenu hata wa kitaalam.
1.chakula
2.afya ya mwili
3.mazingira
 
This is why you have been my heart-controller all the time, and you will always be. I like the way you are humble and kind. I love the way you 'behave' to me... and remember this: ''YOUR BELIEF DOESNT MAKE YOU A BETTER PERSON,YOUR BEHAVIOUR DOES''

😍 😘😘😘its in ma head bebe,so don get dis twisted even abit.
dat confession sent me places.much much looov💕💖💘
 
Hii kitu inategemea ni mtu kuombea asimpate yule anayehitaji hayo kila siku hata mara tatu, hao wenzawasipokuwepo lazima wachepuke
 
 its in ma head bebe,so don get dis twisted even abit.
dat confession sent me places.much much looov

Count me In bebe. much luv until my last breath.
 
Baada ya ushawishi wa Hawa kwa Adam kufanikiwa siku ile ile alimpa na mimba. Hawa akajifungua watoto mapacha, wa kiume na kike. Hao ndiyo wakaendeleza, tena wa kike ndiyo akasababisha tena. Ila Adam aliacha siku ile ile.

Wewe jamani hizi habari Umetoa wap?
 
Kila mtu anaweza ukiwa na mwili shupavu kama wangu,wa mazoezi. Ila sasa wanaume ndiyo wanakuwa na mawazo mengi ya kula tunda kuliko wanawake. ukitoa mawazo kila mtu anaweza lla kwa hali ilivyo sasa wanawake wanaweza kuliko men

Mwili shupavu huo kwenye avatar?
 
Yeah inategemeana mi niliwahi kukaa miez nane,,,,,,lakini kipind cha nyuma nilikuwa napenda ikipita hata siku moja lazima nitafute usawa wa tamu tamu....m,
 
mwanamke zaidi....kwasababu kumpa mwanamke ashiki inabidi uhit not less that 5 of hotspots unlike man. Ndo maana wengi wanawezaa kukaa muda bila mapenzi.
 
mwanamke zaidi....kwasababu kumpa mwanamke ashiki inabidi uhit not less that 5 of hotspots unlike man. Ndo maana wengi wanawezaa kukaa muda bila mapenzi.
hahaha basi kuna wanawake wengine basi wamelogwa.
 
Back
Top Bottom