Mwanaume na mwanamke nani zaidi?

Mwanaume na mwanamke nani zaidi?

Mwanaume anaweza kwani hasumbuliwisumbuliwi, yeye ndo mpaka atongoze!!
 
mmmmh mke... you are trying to blind the audience. wewe ndo unatakaga sana, mpaka ukaamua kunisainisha ratiba ya mara 3 kwa week. nikikubaniaga week mbili tu unahaha mpaka naogopa kumegewa. lol

Hahhahah, i bet yo praying hard hiyo maratatu izidi maana hapo ndo unapoponea.
Afu wala hakuna cha kuhaha apa ukibana, wasiwasi tuu you might be scr*wing another chick kwa jinsi usivyoweza kuvumilia.
 
Mwanaume anaweza zaidi. Kwa sababu hata Adam alikaa muda mrefu sana bila kufanya mapenzi ingawa yeye na Hawa wote walikuwa wanazurura uchi bustanini mpaka pale Hawa alipovunja ukimiya na kusababisha kugegedwa.
 
Hahhahah, i bet yo praying hard hiyo maratatu izidi maana hapo ndo unapoponea.
Afu wala hakuna cha kuhaha apa ukibana, wasiwasi tuu you might be scr*wing another chick kwa jinsi usivyoweza kuvumilia.

kwakweli my darling, leo ngonja nifungue ya moyoni (though this is our internal issues)... huwa natamani iyo mara3 izidi, i sincerely wish it to a tune of mara5 per week, maana umezidi utamu. LOL. But count yoself a lucky woman coz naweza sana kuvumilia, i will never fix another chick, you deserve no cheat, you have 'all utamu' that i need. hahaha
 
Ili iweje? uende peponi? Kwani ukae mbali na utamu eti kuprove a point ni gender ipi inaweza kucheza mbali na utamu?
 
Mwanaume anaweza zaidi. Kwa sababu hata Adam alikaa muda mrefu sana bila kufanya mapenzi ingawa yeye na Hawa wote walikuwa wanazurura uchi bustanini mpaka pale Hawa alipovunja ukimiya na kusababisha kugegedwa.

Ndio maana point yangu nilimalizia kwa kusema "kwa wale ambao wameshaanza mahusiano au wapo kwenye mahusiano" Adam baada ya kuonja papuchi historia iliendeleaje? Alipumzika kugegeda au aliendelea?????
 
Mpk mda huu sijapata jibu la nani anaweza kukaa kipindi kirefu km swali langu hapo mwanzo nilivyoliuliza. Ina maana hakuna approval y kisayansi kuthibitisha hili ama niaje?
Jibu la moja kwa moja nililoliona baada ya kupitia kila maelezo ya mdau ni jibu la kuzungumzia jinsia ya mtu anavyojiskia yeye na si uhalisia.
Bado nakaribisha mawazo yenu ktk mjadala huu..
 
Hakuna eti mwanamke anaweza kuvumilia

Anakula vizuri,analala vizuri na zero stress amalize zile siku zake hahaaa kama uko mbali kidume basi atatafuta japo wakupooza kidogo

Jamani wanawake hufanya kimyakimya,tatizo wanaume hutaka kujulikana kuwa anauwezo wa kumiliki ke zaidi ya mmoja

Ila ukichunguza wanawake wana chain kubwa sana
 
kwakweli my darling, leo ngonja nifungue ya moyoni (though this is our internal issues)... huwa natamani iyo mara3 izidi, i sincerely wish it to a tune of mara5 per week, maana umezidi utamu. LOL. But count yoself a lucky woman coz naweza sana kuvumilia, i will never fix another chick, you deserve no cheat, you have 'all utamu' that i need. hahaha

Nou comment i say.lol
Me not saying a thing again Kaveli.
M speechless for real.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana point yangu nilimalizia kwa kusema "kwa wale ambao wameshaanza mahusiano au wapo kwenye mahusiano" Adam baada ya kuonja papuchi historia iliendeleaje? Alipumzika kugegeda au aliendelea?????


Baada ya ushawishi wa Hawa kwa Adam kufanikiwa siku ile ile alimpa na mimba. Hawa akajifungua watoto mapacha, wa kiume na kike. Hao ndiyo wakaendeleza, tena wa kike ndiyo akasababisha tena. Ila Adam aliacha siku ile ile.
 
Baada ya ushawishi wa Hawa kwa Adam kufanikiwa siku ile ile alimpa na mimba. Hawa akajifungua watoto mapacha, wa kiume na kike. Hao ndiyo wakaendeleza, tena wa kike ndiyo akasababisha tena. Ila Adam aliacha siku ile ile.

Kuna ushahidi wowote? Maana km alikuwa ashaweza kuzalisha watoto maanaake Adam alikuwa anajua utam wa papuchi. Hii ina maana kupumzima kinadharia ilikuwa ngumu. Bado maelezo yako hayajatoa ainisho la kutosha
 
Nou comment i say.lol
Me not saying a thing again Kaveli.
M speechless for real.

This is why you have been my heart-controller all the time, and you will always be. I like the way you are humble and kind. I love the way you 'behave' to me... and remember this: ''YOUR BELIEF DOESNT MAKE YOU A BETTER PERSON,YOUR BEHAVIOUR DOES''
 
Kila mtu anaweza ukiwa na mwili shupavu kama wangu,wa mazoezi. Ila sasa wanaume ndiyo wanakuwa na mawazo mengi ya kula tunda kuliko wanawake. ukitoa mawazo kila mtu anaweza lla kwa hali ilivyo sasa wanawake wanaweza kuliko men
 
Baada ya ushawishi wa Hawa kwa Adam kufanikiwa siku ile ile alimpa na mimba. Hawa akajifungua watoto mapacha, wa kiume na kike. Hao ndiyo wakaendeleza, tena wa kike ndiyo akasababisha tena. Ila Adam aliacha siku ile ile.

Huyoo labdaa ni .Adam wa kijijini kwenyu
 
Back
Top Bottom