Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 571
- 161
Habari zenu mabibi na mabwana,
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu nimekosa jibu. Hivi kati ya mwanamke na mwanaume ni nani anaeweza kustahimili kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi?
Hii inawahusu wale ambao tayari wameshayajua au wameshaanza mahusiano ya mapenzi.
Naombeni mawazo yenu na uelewa wenu hata wa kitaalam.
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu nimekosa jibu. Hivi kati ya mwanamke na mwanaume ni nani anaeweza kustahimili kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi?
Hii inawahusu wale ambao tayari wameshayajua au wameshaanza mahusiano ya mapenzi.
Naombeni mawazo yenu na uelewa wenu hata wa kitaalam.