Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,147
- 159,068
Akili mbona ni wazi, ni nikutoe kukariri kuwa ni heri kukosa pesa lakini sio akili hiyo mwanadamu yoyote hiyo kauli mbona ipo wazi lakini angalia ulivyoitumia ni namna gani wanawake mnajidharau kwamba nyie hata msipo kuwa na akili maisha yanaenda tu ohhhh kumbe,sasa mpo kwenye karne mwananke lazima nae atumie akili ili aishi sio uzuri/urembo tu ... Kuwaza nje ya box nyie watu mnashida sana hata jinsi mnavyojibu hizi hoja kuna mahala mnashida sana
Imebidi nicheke kwanza, hebu soma tena uoichoandika.