Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,479
- 84,025
Mmhh maswala ya wanaume kula kwa jasho la wake zao ndo hamjui makubaliano yao ila maswala ya wanaume kusaidia wake zao kazi za ndani ndo roho huwa zinawaumaSijui makubaliano yao kwenye ndoa yao.
Mmhh maswala ya wanaume kula kwa jasho la wake zao ndo hamjui makubaliano yao ila maswala ya wanaume kusaidia wake zao kazi za ndani ndo roho huwa zinawaumaSijui makubaliano yao kwenye ndoa yao.
Najibu kadiri unavyoniuliza,I'm not responsible for what other members said or think.Mmhh maswala ya wanaume kula kwa jasho la wake zao ndo hamjui makubaliano yao ila maswala ya wanaume kusaidia wake zao kazi za ndani ndo roho huwa zinawauma
We Jamaa , Umenimaliza. Nimecheka BalaaWacha nife tu mapema Sio kwa usawa huu.ihiiiiiiii
Kama Nyapu Unaila Vzr, Wala Hawasumbuagi... Watamu BalaaAkiwa wa nje mkipendana sawa; maana ukiingiza kidogo atakuelewa ila hawa wa Bongo ni shida tupu.
Anaweza kukuaibisha hata mbele ya marafiki zake.
Sawa mkuuNajibu kadiri unavyoniuliza,I'm not responsible for what other members said or think.
Ndo inamuhusu hii mzee...Kawaje tena Mzee Baba
Haijaandikwa, ila pia ni exclusive kwa walioolewa tu. Kama huna mume huwezi kukwepa kula kwa jasho lakoKwani sisi wanawake kuna sehemu kwenye maandiko tumeagizwa kula kwa jasho letu au kuhudumia familia?
Eti unconditional love?nyooooMwanamke anakunyanganya simu, wewe utakuwa mwanaume wa Dar . Mwanamke akikupa hela mwanaume kuna mawili either anapewa na mwanaume mwingine ( WENGI WAPO KUNDI HILI) au ni hela za familia. Kama ni kundi la kwanza tegemea dharau, kejeli, fedheha mda wowote kwani stress za mahusiano yake mengine yote atamalizia kwako kwani baada ya muda yatamchosha lakin hatakuwa na namna ya kuyaacha( WEWE HUNA UWEZO WA KUMFANYA AISHI VIZURI).
All in all mahusiano kati ya mwanamke mwenye kipato kikubwa zidi ya mwanaume mwenye kipato cha chini yanaweza dumu tu pale ambapo chanzo cha mapato cha mwanamke ni biashara binafsi/familia na sio kutoka kwa mwanaume mwengine bila kusahau mwanamke awe anampenda huyo mwanaume kweli (UNCONDITIONAL LOVE).
Hapo ndipo dhana ya kiburi ilipojificha, kuna nyakati ambazo hata mshahara pia hucheleweshwa japo mmefanya kazi yenu tayari. Mbona hamuachi kazi kwa kiburi kwamba hamjalipwa?Mfano wako ni mzuri sana ndiyo siwezi kumjibu shit kwa sababu yeye ndo boss na yeye ndo ananipa mshahara siyo mimi ninayempa mshahara sasa vipi kwa kwa wale wanaume (maboss) ambao hawahudumii wake zao (hawawalipi mshahara wafanyakazi wao)?
Zinayo sana,si ndo wanawake wenye elimu ndogo na wasiochangia lolote kwenye uchumi wa familia ambao wanaume ndo wanawatakaInasikitisha sana
I feel so sorry for those women
Ndoa hazina raha hizo.,zingekuwepo wasingekua wanahangaika nje
Ndo anachosema mleta mada,oeni wanawake size zenu msiparamie wanawake wenye elimu na wanaojiweza kiuchumi mtegemee kutunzaIli kuepuka kulishwa ndiyo maana
1. Huwa hatuoi mwanamke aliyetuzidi kipato au elimu.
2. Kama ukinizidi kipato kwenye familia halafu huniheshimu huwa tunavunja ndoa tunaoa mke mwingine ambaye ninamzidi kipato sababu atanieshimu. Si nina pesa, utanisumbua nini
3. Kama mambo yakienda kombo halafu sina kitu huwa tunakimbia familia ili kuepuka uliyosema. Badala umshauri mumeo unamcheka.
N.B
Kwa mwanamke kama wewe, unayemcheka mumeo ambaye ameanguka kiuchumi wakati alipokuwa na mali ulizitumia. Badala umfariji na umshauri nini afanye unaanza kumcheka. Unategemea utamheshimu ukizimdi kipato? Ndiyo maana huwa hatuoi aliyetuzidi kipato bora unizidi elimu na siyo kipato sababu za dharau kama zako. Tunawajua wanawake vizuri na huwezi kukuta mwanaume rijali anaoa mwanamke anayemzidi kipato.
Wanaume nguvu zetu zipo kwenye elimu na pesa ndiyo maana huwa hatutaki kuwa wanawake kama The iron batterfly na ikitokea, basi tukiishiwa huwa tunakimbia familia sababu tunaamini "mwanamke hana cha kukupa zaidi ya uke wake tu"
Mke akichepuka atakuwa ameji disqualify tayari, japo lazma ntaangalia chanzo. Kama ni makusudi au laa!Na wewe naomba unijibu hilo swali
Unasema mume kama hamhudumii mkewe sababu mojawapo yaweza kuwa hampendi, really??kwanini uoe mtu usiyempenda??Hapo ndipo dhana ya kiburi ilipojificha, kuna nyakati ambazo hata mshahara pia hucheleweshwa japo mmefanya kazi yenu tayari. Mbona hamuachi kazi kwa kiburi kwamba hamjalipwa?
Translation: Mume wako unahisi unammudu sana ndio maana unataka umuendeshe unavyotaka, ndoa sio kitu cha maana kwako.
Mume kukuhudumia ni swala mtambuka, lazma afanye hivyo ilihali ana uwezo sana. Ikiwa hana uwezo basi walau afanye yale yalio ndani ya uwezo wake na ukiona mumeo hakuhudumii kuna mambo mawili aidha hakupendi, au hana uwezo.
Sio kweliZinayo sana,si ndo wanawake wenye elimu ndogo na wasiochangia lolote kwenye uchumi wa familia ambao wanaume ndo wanawataka
Lengo hasa ni kuwanyanyasa na kuwafuja,mtu hata hela ya kujinunulia lotion hana ataacha kupauka hahahah
Ndio maana kuna + na - mkuu, upo sahihi sana na hata hivyo kila mguu una namba yake, cha msingi ni uvumilivu ili upate namba yako.Zinayo sana,si ndo wanawake wenye elimu ndogo na wasiochangia lolote kwenye uchumi wa familia ambao wanaume ndo wanawataka
Lengo hasa ni kuwanyanyasa na kuwafuja,mtu hata hela ya kujinunulia lotion hana ataacha kupauka hahahah
Sasa kama mimi nakupenda na nina uwezo kwanini nisikufanyie yale mazuri kama mpenzi wangu, ona jana Diamond kanunua Land Cruisers mbili about 500+ millions. Moja ya mama yake na ingine ya mpenzi wake. Amefanya vile kwa sababu ana uwezo huo ila kwa sie tusio na uwezo tungefanyaje?Unasema mume kama hamhudumii mkewe sababu mojawapo yaweza kuwa hampendi, really??kwanini uoe mtu usiyempenda??
Kwanini ujipe msalaba mzito hivo wanaume?
No wonder mnakufa kwa stress
Halafu mwanaume kutokuwa na uwezo ndilo alilosema mleta mada kuwa tafuteni wanawake wa viwango vyenu,kwani si kila sketi ipitayo ni size yako.
😆😆😆😆😆😆
Maajabu haya, hatimae umepona.
Jamaa ni kama mimi tu sema sichezi mpira tu. One girl attitude!!!ndiyo ununue na private jet halafu ufanye kama Messi alivyofanya kwenye private jet yake kwenye zile ngazi za ndege yake kuanzia ngazi ya juu hadi ya chini kaandika jina lake la mke wake na ya watoto wao watatu
tena nasikia ni mwanaume wa mwanamke mmoja yaani kama ambavyo kachezea timu moja tangu kaanza mpira ndivyo ambavyo kadumu na mwanamke mmoja na kazaa na mwanamke mmoja tangu kaanza mahusiano ila daah aise duniani kuna wanaume halafu kuna Messi