Mwanaume mwenye hela Vs Mwanaume asiye na hela

Head Gelo

Senior Member
Oct 7, 2018
122
210
Hebu nipeni uzoefu hapa

Mfano mdada ana hela yakujihudumia si tegemezi kabisa

Anahitaji kupata mtu gani kati ya hawa?

1.Mwanaume aliyemzidi ki uchumi

2.Mwanaume ambaye hana pesa kabisa

Kati ya hawa wanaume wawili ni yupi ambaye wata match


Wengi wanasema wanaume wenye hela wanaringa na niwasumbufu coz wanapendwa na wadada wengi na uwezo wa kupata mwanamke yeyote wanayo

Pia wanasema ukipata asiye na hela labda wakipewa sapoti baadaye wakifanikiwa wengi hubadilika
Je kuna ukweli wowote?

Hebu wanaume fungukeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anahitaji kupata mwanaume aliyemzidi kiuchumi..

mwanaume mwenye pesa ndiyo kila kitu sasa wanaosema anapendwa na wanawake wengi wanataka apendwe na wanaume? ni kugombania goli hakikisha unafunga tu .. usijitese kwa kapuku eti kisa unataka unyenyekewe .. mwanume pesa mengine bonus..
 
anahitaji kupata mwanaume aliyemzidi kiuchumi..

mwanaume mwenye pesa ndiyo kila kitu sasa wanaosema anapendwa na wanawake wengi wanataka apendwe na wanaume? ni kugombania goli hakikisha unafunga tu .. usijitese kwa kapuku eti kisa unataka unyenyekewe .. mwanume pesa mengine bonus..
the return of miss chaga,,,,,,
 
anahitaji kupata mwanaume aliyemzidi kiuchumi..

mwanaume mwenye pesa ndiyo kila kitu sasa wanaosema anapendwa na wanawake wengi wanataka apendwe na wanaume? ni kugombania goli hakikisha unafunga tu .. usijitese kwa kapuku eti kisa unataka unyenyekewe .. mwanume pesa mengine bonus..
Sawa manka, sipingani na wazo lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasi + hasi =
Hasi + chanya =
Chanya + chanya=
Ukipata majibu naamini utaelewa...
kumbuka
Hasi= hana hela
Chanya = mwenye hela
 
Hebu nipeni uzoefu hapa

Mfano mdada ana hela yakujihudumia si tegemezi kabisa

Anahitaji kupata mtu gani kati ya hawa?

1.Mwanaume aliyemzidi ki uchumi

2.Mwanaume ambaye hana pesa kabisa

Kati ya hawa wanaume wawili ni yupi ambaye wata match


Wengi wanasema wanaume wenye hela wanaringa na niwasumbufu coz wanapendwa na wadada wengi na uwezo wa kupata mwanamke yeyote wanayo

Pia wanasema ukipata asiye na hela labda wakipewa sapoti baadaye wakifanikiwa wengi hubadilika
Je kuna ukweli wowote?

Hebu wanaume fungukeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua katika Dunia ya leo tuliyo nayo ni ngumu sana kusema kipi ni kipi kulingana na hoja yako.
Kuna wakati pesa ina weza kuwa ni msingi wa mambo yote katika mahusiano/mapenzi whatever you call it. Lkn pia pesa inaweza isiwe msingi katika hilo.

Kwa mtizamo wangu mm (mwingine anaweza differ nami na sitampinga) pesa si msingi au kigenzo cha kumchagua mtu kama anakufaa au la. Jambo la msingi kuku guide wewe ( jambo ni ngumu pia kuistablish) umchaguae wewe anajenga au amejenga misingi gani ya kimkakati katika kuelekea kupata hizo pesa. Ana matendo, wawazo na mitizamo gani kuhusu kutimiza makusudi/malengo yaliyo mbele yake ambapo kwa hayo anaweza kupata hizo fedha nyingi, kidogo au asipate kabisa.

Nkirudi kwenye hoja yako ya msingi ni mwanaume yupi aliye sahihi kati ya asiye nacho kabisa na yule mwenye nacho kukuzidi.
bado nataka nisisitize suala si kwamba anacho au hana. ukiangalia hivyo unaweza potea kabisa usipate unachohitaji. Unaweza chagua asiye nacho ili tu akutii sababu tayari wewe unacho lakini ukapata wa aina hiyo sababu ameshindwa na hawezi kujenga misingi sahihi ya mafanikio yake akabaki akikusumbua tu kwenye maisha kama utakavyosumbiliwa na aliye nacho ambae pia mali zake hakuzipata kwa misingi ya uadilifu na maisha yake akiyaendesha bila uadilifu ikiwa pamoja na kunyanyasa wasio nacho including mke.

Nahitimisha kwa kusema chaguo sahihi la mwanaume kwa mtazamo wangu lisieegemee kuwa na mali au kutokuwa na mali bali kuna mambo ya msingi ya kuyatafiti kupata mme/mke.
 
Unajua katika Dunia ya leo tuliyo nayo ni ngumu sana kusema kipi ni kipi kulingana na hoja yako.
Kuna wakati pesa ina weza kuwa ni msingi wa mambo yote katika mahusiano/mapenzi whatever you call it. Lkn pia pesa inaweza isiwe msingi katika hilo.

Kwa mtizamo wangu mm (mwingine anaweza differ nami na sitampinga) pesa si msingi au kigenzo cha kumchagua mtu kama anakufaa au la. Jambo la msingi kuku guide wewe ( jambo ni ngumu pia kuistablish) umchaguae wewe anajenga au amejenga misingi gani ya kimkakati katika kuelekea kupata hizo pesa. Ana matendo, wawazo na mitizamo gani kuhusu kutimiza makusudi/malengo yaliyo mbele yake ambapo kwa hayo anaweza kupata hizo fedha nyingi, kidogo au asipate kabisa.

Nkirudi kwenye hoja yako ya msingi ni mwanaume yupi aliye sahihi kati ya asiye nacho kabisa na yule mwenye nacho kukuzidi.
bado nataka nisisitize suala si kwamba anacho au hana. ukiangalia hivyo unaweza potea kabisa usipate unachohitaji. Unaweza chagua asiye nacho ili tu akutii sababu tayari wewe unacho lakini ukapata wa aina hiyo sababu ameshindwa na hawezi kujenga misingi sahihi ya mafanikio yake akabaki akikusumbua tu kwenye maisha kama utakavyosumbiliwa na aliye nacho ambae pia mali zake hakuzipata kwa misingi ya uadilifu na maisha yake akiyaendesha bila uadilifu ikiwa pamoja na kunyanyasa wasio nacho including mke.

Nahitimisha kwa kusema chaguo sahihi la mwanaume kwa mtazamo wangu lisieegemee kuwa na mali au kutokuwa na mali bali kuna mambo ya msingi ya kuyatafiti kupata mme/mke.
Umedadavua vizuri ila haya ya mwisho ni mependa sana,ningependa kufahamu hivo vigezo vya upimaji wa mume bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom