Mwanaume mpakistani anataka mke

Hii ni kama muafrika anasema anataka mume mzungu ili sjui apate vitu gani sijui uelekeo sijui nini za kuishi ulaya
Na huyo anataka mtz akamnaniliu tu
 
Bado mpakistani hajapata mke japo kanijibu jana,yupo mdada mmoja ndio wanamalizua maongezi naye,huyo dada katokea dodoma
 
Hawa sio wa kuwapa uraia warudishwe kwao haraka sana
 
Kununua gharama, kaona AOE apate the cheapest prostitute ever.
 
Vipi bado hajapata? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Anaongea na mdada mmoja kutoka dodoma,ambae amemualika yeye,akiambatana na wazazi wake,sasa kwakuwa sishiriki hayo maongezi siwezi kujua,lakini dalili ni njema kwani kagharimia kika kitu na alisisitiza kuwa huyo mdada aje na wazazi wake
 
Anaongea na mdada mmoja kutoka dodoma,ambae amemualika yeye,akiambatana na wazazi wake,sasa kwakuwa sishirikinhayo maongezi siwezi kujua,lakini dalili ni njema kwani kagharimia kika kitu na alisisitiza kuwa huyo mdada aje na wazazi wake
Oooh utaleta mrejesho bas.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…