Mwanaume kuvaa hereni


usiongee usilo na Elimu nalo.
Quran hairuhusu upuuzi kama huo.
Uislam umekamilika hauhitaji maoni ya mtu yoyote, kila kitu kipo wazi katika uislam.
 
Yah ni kawaida ni uswahili unatusumbua sie watz tuonapo men wametupia hereni ila kwa kweli ni kawaida ni pambo kama saa tu halibadili uhalisia wa ndani wa mtu

Uswahili??? Wewe mzungu? Kubali kuwa shoga basi. Kila watu na mila na tamaduni zao.
 
Uswahili??? Wewe mzungu? Kubali kuwa shoga basi. Kila watu na mila na tamaduni zao.

Ww mila na desturi zako ni kuvaa nguo,Kula vyakula vya kisasa,kutumia internet mbona umeacha mambo kama kutambika na umekimbilia uislamu au ukiristo unadhani huo ni asili yako???
 
Ww mila na desturi zako ni kuvaa nguo,Kula vyakula vya kisasa,kutumia internet mbona umeacha mambo kama kutambika na umekimbilia uislamu au ukiristo unadhani huo ni asili yako???

Zipo + na -. Chagua +. Mfano. Waingereza ni utamaduni kuvaa tai lakini china hawakuchukua. Waafrika tunakula UGALI je wazungu na wachina wameiga tamaduni yetu?
 
Ww mila na desturi zako ni kuvaa nguo,Kula vyakula vya kisasa,kutumia internet mbona umeacha mambo kama kutambika na umekimbilia uislamu au ukiristo unadhani huo ni asili yako???
Bila shaka utakuwa bwabwa wewe. Mnatia aibu.
 
Kuvaa Helen kwa mwanaume ni "ufeminism" yaani tabia ya mwanamume kujipunguzia hadhi ya uanaume halisi na kuwa na character za mwanamke. Take care rafiki unaependa heleni ukiwa mwanaume inaweza sheria ya kuolewa inayoendelea kupitishwa na mataifa mbalimbali ikiwemo Marekani ikakuhusu.
 
Kumbe Biblia na Qur'an ni maandiko matakatifu? !
 
Bruce Jenner alianza hivi hivi na sasa hivi ni Caitlyn Jenner. Hereni ya kazi gani sikioni mwa mwanaume?
Leo hereni kesho kikuku, siku nyingine shanga kiunoni.Baada ya hapo watu wanakuhemea nyuma ya shingo.
[h=3][/h]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…