Hili halizungumziwi sana lakini linakuwa kwa kasi. Kuna wanaume wa kutosha tu wanatunzwa na wanawake, wengine wako kwenye ndoa wengine mahusiano ya kawaida. The issue is wanaume hawa wameridhika, wanaona ni sawa na hawajishughulishi.
Kwa ushamba wangu wa uhafidhina mtizamo wangu ni kuwa na roles sawa kwenye mahusiano, kila mtu achangie kwa kutegemeana na kipato chake japo wengi wa kina dada wanaamini wanaume sharti wafanye kila kitu.
Kwa wanaume wanaotunzwa na wanawake, wanahisi vipi? Wanaona ni sawa tu? Hawa wanawake wanafikiri vipi? Ni aina gani ya wanawake hutunza wanaume? Na sababau ni zipi? Je hili ni sawa kijamii? Wanaume waliowahi kutunzwa na wanawake wanaweza kutupa uzoefu? Na wanawake wanaotunza wanaume, please give us your experience.
Ningefurahi kujua.
Kwa ushamba wangu wa uhafidhina mtizamo wangu ni kuwa na roles sawa kwenye mahusiano, kila mtu achangie kwa kutegemeana na kipato chake japo wengi wa kina dada wanaamini wanaume sharti wafanye kila kitu.
Kwa wanaume wanaotunzwa na wanawake, wanahisi vipi? Wanaona ni sawa tu? Hawa wanawake wanafikiri vipi? Ni aina gani ya wanawake hutunza wanaume? Na sababau ni zipi? Je hili ni sawa kijamii? Wanaume waliowahi kutunzwa na wanawake wanaweza kutupa uzoefu? Na wanawake wanaotunza wanaume, please give us your experience.
Ningefurahi kujua.