Mwanaume kutongozwa imekaaje?

Mwanaume kutongozwa imekaaje?

yaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
hiiii..! kama una miaka zaidi ya mitano na unamulewa basi kaza buti mwenyewe kieleweke, au utasubiri sana tu
 
Mimi ni old school, ukinitongoza najitoa mwenyewe. Yaani mzuka unaisha fasta.

Na sijawahi kula demu aliyenitongoza, mpaka huwa najihisi nina tatizo maana unaweza kunikuta najipendekeza kwa demu namlia timing ya kuimbisha, akijichanganya akaanza yeye ndo kanifukuza.
 
yaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
natamani mimi ndio ningekuwa huyo ambaye unamsubiri akaze buti
 
Mimi ni old school, ukinitongoza najitoa mwenyewe. Yaani mzuka unaisha fasta.

Na sijawahi kula demu aliyenitongoza, mpaka huwa najihisi nina tatizo maana unaweza kunikuta najipendekeza kwa demu namlia timing ya kuimbisha, akijichanganya akaanza yeye ndo kanifukuza.
huo ndo uanaume bana na tusiende tofauti ya hapo,eti mwanaume unajisifia kuwala madem waliokutongoza na wengine wanaona kawaida kutongozwa
 
huo ndo uanaume bana na tusiende tofauti ya hapo,eti mwanaume unajisifia kuwala madem waliokutongoza na wengine wanaona kawaida kutongozwa

Hizi culture za old school ni shida sana, kuna muda nilishaacha file ambalo ni high profile, eti kwa sababu kanianza yeye wakati Mimi pia nilikuwa namtaka.

Siku hizi maisha yamebadilika sana lakini, kipindi hicho nikizungushwa nilikuwa nakomaa ovyo, zile za usinikubali haraka haraka.

Siku hizi nazungushwa chenga ya kwanza, ya pili naacha.
 
Kla mmoja na haki ya kueleza hisia zake kwa mwenzie bila kujali jinsia. Ila huyo dogo muongo huwez tongozwa na wasichana weng kwa kias hcho anasema yy. Labda kama ana hela wajptshe ptshe 2 mbele yake.
 
Mimi huwa nawaheshimu wanaonitongoza inaashiria amenipenda kiukweli na ameshindwa kuficha hisia
 
Back
Top Bottom