Mwanaume kutongozwa imekaaje?

Mwanaume kutongozwa imekaaje?

bana wee huyo mvulana na kwetu yupo aisee kila siku anatongozwa yeye.... Kimaadili kwakweli wanasema (wao) sio vyema mwanamke kumtongoza mwanaume ..... Lakini sasa dunia yetu ya sasa kutongoza ama kueleza hisia zako kwa mkaka sio kesi ... Kwanini ufe na mfadhaiko wa moyo jamani na mdomo unao na moyo wako unakunjamana ... Sema tu mwenyewe nikikupenda ukanikaa rohoni wee nikazificha na bado naumia mie nakwambia tu utajua mwenyewe
asee! unafanya vema sana
 
Naanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Aiii..! umemuelewa mtu na yeye ajui kama unamulewa unafikiri utampataje huyo zaidi ya funguka hapo, au ndo utaanza kuweka vimitego vyako
 
Naanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Haha unatambaa naye
 
tena siku hizi si kutongoza,kutongoza na kuhonga viambatane lasivyo utaniokota mtaa be
Kwahiyo ukiwa unatongozwa na kuhongwa na wanaume zaidi ya mmoja si utapasuliwa na wote?!
 
Naanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Kunaviashiria mnatuonyesha tunavielewa,,sio lazima mje direct
 
sikia hii;
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,

ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.

hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?


sielewi???
Hapo kazi imerahisishwa na inaondoa hadithi za uongo ambazo hazina tija. eti ooo....nitakununulia meli, ooo.....ninamiliki mkoa....blabla...nyingine. Kama utamu unajileta wewe kazi ni moja tu. KUKULA
 
Hata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Aiii..! umemuelewa mtu na yeye ajui kama unamulewa unafikiri utampataje huyo zaidi ya funguka hapo, au ndo utaanza kuweka vimitego vyako
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
 
Kwahiyo ukiwa unatongozwa na kuhongwa na wanaume zaidi ya mmoja si utapasuliwa na wote?!
nokia hapa tutaaply mwenye kisu kirefu ndo anayekula nyama combined with other terms
 
nokia hapa tutaaply mwenye kisu kirefu ndo anayekula nyama combined with other terms
Mwenye kisu kirefu unamjuaje kama invoice zote unazopeleka kwa watu tofauti zinapita bila tatizo
 
Halafu mwanamke ana asimilia 90 ya kufanikiwa lengo lake kama atatongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtobgoza wa kike.

Mimi naona sio dhambi ni kawaida tu.
 
Hata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
Pole sana
 
Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa
Haaahaa sasa hii imekaaje nayo
 
Nimekucheka
Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa
.
 
Back
Top Bottom