mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
yaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
akiiona hii coment atakuwa ashaelewayaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
akiiona hii coment atakuwa ashaelewa![]()
akiiona hii coment atakuwa ashaelewa
Duh pole sana mkuu, je naweza badili naafasi yake? Ila Si mbaya nikajua nini kilimuuaHata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
Haaaa mda mwingine tunatafsir vibayaNimekucheka.
Haaaayaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
teh teh! eti kazi ni KUKULA TU!Hapo kazi imerahisishwa na inaondoa hadithi za uongo ambazo hazina tija. eti ooo....nitakununulia meli, ooo.....ninamiliki mkoa....blabla...nyingine. Kama utamu unajileta wewe kazi ni moja tu. KUKULA
hy indirect jamani wakati fillings nae anazooooHaitakiwi ila kama unahisia onyesha in indirect way.
hahah! kwaiyo sahiv ata ukiwekewa vimitego auendei unaogopa kupigwa cha mbavu?Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa
Sasa hivi nimeoa bana,,,hayo mambo hamna tenahahah! kwaiyo sahiv ata ukiwekewa vimitego auendei unaogopa kupigwa cha mbavu?
kwa hali yako ivyotokea na wewe na mume wako wote mlidata, lakini kama ingetokea mwanaume ajakuweka kichwani ilikuwa sio noma kumwambia hisia zako, mbali na hapo ungemkosa tuHata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
kama umeoa mkuu hapo sawa, lakini nasikia watu wenye ndoa zao ndo mnakumbwa sana na hali ya kutongozwa, sijui kweliSasa hivi nimeoa bana,,,hayo mambo hamna tena
asee huyo wakukupigia misele sio, hapo lazima umuogope, atakuwa ana jambo jingene huyoKuna wanawake wengine hawana aibu, akikupenda hadi anakuwinda,anakupigia misele hadi kitaa,mpaka unaogopa!
pole mkuu aisee hilo guberi halina aibu nimecheka sanaKuna wanawake wengine hawana aibu, akikupenda hadi anakuwinda,anakupigia misele hadi kitaa,mpaka unaogopa!