Mwanaume kutongozwa imekaaje?

Mwanaume kutongozwa imekaaje?

yaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae nae
akiiona hii coment atakuwa ashaelewa
 
Hata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
Duh pole sana mkuu, je naweza badili naafasi yake? Ila Si mbaya nikajua nini kilimuua
 
Hapo kazi imerahisishwa na inaondoa hadithi za uongo ambazo hazina tija. eti ooo....nitakununulia meli, ooo.....ninamiliki mkoa....blabla...nyingine. Kama utamu unajileta wewe kazi ni moja tu. KUKULA
teh teh! eti kazi ni KUKULA TU!
mtu anajiweka kwenye kitazi mwenyewe
 
Wanaume Malaya wanapenda kweli kusema kuwa wanatongozwa wengi ambao hisema wameto gozwa na wadada ni waongo mnooo yani
 
mbona ni sawa tuu mwanamke kumtongoza mwanaume
 
Kuna wanawake wengine hawana aibu, akikupenda hadi anakuwinda,anakupigia misele hadi kitaa,mpaka unaogopa!
 
Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa
hahah! kwaiyo sahiv ata ukiwekewa vimitego auendei unaogopa kupigwa cha mbavu?
 
Hata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
kwa hali yako ivyotokea na wewe na mume wako wote mlidata, lakini kama ingetokea mwanaume ajakuweka kichwani ilikuwa sio noma kumwambia hisia zako, mbali na hapo ungemkosa tu
 
Kuna wanawake wengine hawana aibu, akikupenda hadi anakuwinda,anakupigia misele hadi kitaa,mpaka unaogopa!
asee huyo wakukupigia misele sio, hapo lazima umuogope, atakuwa ana jambo jingene huyo
 
Kuna wanawake wengine hawana aibu, akikupenda hadi anakuwinda,anakupigia misele hadi kitaa,mpaka unaogopa!
pole mkuu aisee hilo guberi halina aibu nimecheka sana
 
Watutongoze tu, na hivi vyuma hilivyokaza siku hizi muda wa kutongoza hatuna.
 
Back
Top Bottom