asee! unafanya vema sana[emoji23][emoji23] bana wee huyo mvulana na kwetu yupo aisee kila siku anatongozwa yeye.... Kimaadili kwakweli wanasema (wao) sio vyema mwanamke kumtongoza mwanaume ..... Lakini sasa dunia yetu ya sasa kutongoza ama kueleza hisia zako kwa mkaka sio kesi ... Kwanini ufe na mfadhaiko wa moyo jamani na mdomo unao na moyo wako unakunjamana ... Sema tu mwenyewe nikikupenda ukanikaa rohoni wee nikazificha na bado naumia mie nakwambia tu utajua mwenyewe
tena siku hizi si kutongoza,kutongoza na kuhonga viambatane lasivyo utaniokota mtaa beHuyo kijana yupo darasa la ngap? Na hao watoto wanaomtongoza wako la ngap?
Aiii..! umemuelewa mtu na yeye ajui kama unamulewa unafikiri utampataje huyo zaidi ya funguka hapo, au ndo utaanza kuweka vimitego vyakoNaanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Haha unatambaa nayeNaanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Kwahiyo ukiwa unatongozwa na kuhongwa na wanaume zaidi ya mmoja si utapasuliwa na wote?!tena siku hizi si kutongoza,kutongoza na kuhonga viambatane lasivyo utaniokota mtaa be
Kunaviashiria mnatuonyesha tunavielewa,,sio lazima mje directNaanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
Hapo kazi imerahisishwa na inaondoa hadithi za uongo ambazo hazina tija. eti ooo....nitakununulia meli, ooo.....ninamiliki mkoa....blabla...nyingine. Kama utamu unajileta wewe kazi ni moja tu. KUKULAsikia hii;
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,
ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.
hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?
sielewi???
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,Aiii..! umemuelewa mtu na yeye ajui kama unamulewa unafikiri utampataje huyo zaidi ya funguka hapo, au ndo utaanza kuweka vimitego vyako
Utakuwa umeshakua mkubwa umejiongeza,ila pia saa zingine mnatuelewa vibayaKunaviashiria mnatuonyesha tunavielewa,,sio lazima mje direct
Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisaUtakuwa umeshakua mkubwa umejiongeza,ila pia saa zingine mnatuelewa vibaya
nokia hapa tutaaply mwenye kisu kirefu ndo anayekula nyama combined with other termsKwahiyo ukiwa unatongozwa na kuhongwa na wanaume zaidi ya mmoja si utapasuliwa na wote?!
Mwenye kisu kirefu unamjuaje kama invoice zote unazopeleka kwa watu tofauti zinapita bila tatizonokia hapa tutaaply mwenye kisu kirefu ndo anayekula nyama combined with other terms
Pole sanaHata Wewe Ukiniona Lazima Unielewe Tu Hata Kinafiki Lakini Kukuwekea Vimitego Sahau
Torvic Nakupa Mfano Wa Mume Wangu,mara Ya Kwanza Kumuona Nlimuona Kwa Picha Ya Familia Yao,alintambulisha Dada Yake,sikufichi Nlimuelewa Sana Na Stori Za Dadake Kuhusu Yeye Ndo Kabisa kimoyomoyo nkawa nasema na kuomba awe wangu,,na Yeye Siku Ya kwanza kuniona akanielewa sana,tulivyoonana ndo kabisa,dar hakukaliki mwanza hakukaliki,tukakamilisha kitu na Mungu akatubariki kidume,ila safari yetu iliishia njiani Mungu Alimpenda Zaidi,
yaani Kabisa Kuna mmoja humu urafiki wangu mimi na yeye zaidi ya miaka 5,nimemuelewa amenielewa ila hajakaza tu buti,namsubiri ntambae naeHaha unatambaa naye
Haaahaa sasa hii imekaaje nayoEeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa
.Eeeh kuna kipindi dada mmoja kapanga jirani yangu alikua anaonyesha viasharia vyote kidume nikajitosa hahaha sikuamini nilivyochezea vya mbavu...na urafiki ukafa kabisa