Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,394
- 10,836
sikia hii;
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,
ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.
hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?
sielewi???
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,
ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.
hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?
sielewi???
