Mwanaume kutongozwa imekaaje?

Mwanaume kutongozwa imekaaje?

Mwanzo ni Mwisho

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
4,394
Reaction score
10,836
sikia hii;
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,

ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.

hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?


sielewi???
 
bana wee huyo mvulana na kwetu yupo aisee kila siku anatongozwa yeye.... Kimaadili kwakweli wanasema (wao) sio vyema mwanamke kumtongoza mwanaume ..... Lakini sasa dunia yetu ya sasa kutongoza ama kueleza hisia zako kwa mkaka sio kesi ... Kwanini ufe na mfadhaiko wa moyo jamani na mdomo unao na moyo wako unakunjamana ... Sema tu mwenyewe nikikupenda ukanikaa rohoni wee nikazificha na bado naumia mie nakwambia tu utajua mwenyewe
 
bana wee huyo mvulana na kwetu yupo aisee kila siku anatongozwa yeye.... Kimaadili kwakweli wanasema (wao) sio vyema mwanamke kumtongoza mwanaume ..... Lakini sasa dunia yetu ya sasa kutongoza ama kueleza hisia zako kwa mkaka sio kesi ... Kwanini ufe na mfadhaiko wa moyo jamani na mdomo unao na moyo wako unakunjamana ... Sema tu mwenyewe nikikupenda ukanikaa rohoni wee nikazificha na bado naumia mie nakwambia tu utajua mwenyewe

Wangapi umewaambia?!
 
Naomba hawa watu waendelee kuwa madomo zege maana sijui itakuwaje.
 
RUKSA kwa wanawake wote wanaonitaka ila wanashindwa kunitongoza.... njooni PM ntawasikiliza mmoja mmoja.
 
sikia hii;
kijana mmoja hivi wa mtaani kwetu ni bingwa sana sana wa kula mademu wa kitaa, na kijana huyu anajisifu sana kuwa kwa mara nyingi mademu ndio wanamtogoza lakin yeye hana time nao,

ishu inakuja hapa;
marafiki na wadau wanao jiita wagumu wana mponda sana, wanadai mwanaume kutongozwa na demu ni kinyume na maadili ya kibongo, wanasema kwa demu anaye mtongoza mwanaume basi uyo demu ni malaya au anataka aliwe tu, ooh! kijana ni domo zege ajui kutongoza.
naona majamaa wanamuone wivu tu huyu kijana.

hivi watanzani bado tunaamini nini kuhusu mwanaume kutogozwa na msichana.
mwanamke haruhusiwi kusema hisia zake kwa mwanaume?
mwanamke akimtogoza mawanume anaonekana kama malaya?
ni vibaya mwanaume kutongozwa na mwanamke?


sielewi???
Ni kawaid anaeona ni tofauti basi ni ushamb huo
 
Huyo kijana yupo darasa la ngap? Na hao watoto wanaomtongoza wako la ngap?
 
Naanzaje Labda Kwa Mfano?Ila Kuna Ile Mtu Umemuelewa,unamsubiria Akiflow Tu Natamba Nae,ila mimi kumuanza au kuonesha mashauzi hapana aisee
 
Back
Top Bottom