Mwanaume kushindwa kutungisha mimba

OCC Doctors

Senior Member
Jul 20, 2018
104
151
Ugumba kwa wanaume ni tatizo, na huchangia asilimia 50% ya wanandoa wasio na uwezo wa kuzaa.

Utoaji wa huduma za afya za kibingwa kushughulikia matatizo ya uzazi ya mwanaume bado hayatoshi ikilinganishwa na mwenza wake wa kike. Kwasababu kipimo cha mbegu (semen analysis) ndio njia pekee katika kutoa taratibu za gharama kubwa za usaidizi wa kupandikiza uzazi (in-vitro fertilization).

Kwa hivyo, wanaume wengi huendelea kujitahidi kutungisha mimba bila mafanikio na hawataki kutathminiwa kikamilifu.

365567194_173888812372126_5165166368005235601_n.jpg
 
Back
Top Bottom