Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Hadi leo unakutana na mwanaume anaona AIBU anapokutana na DEMU au mwanamke
yaani mara anaangalia chini, kushika kichwa, mara ageuke nyuma.....aarrrrrrgghh
mm kama mwanaume kama nimemwoana mwanamke kapendeza au nataka kumtokea
mara moja namsogelea nipo sooooo smart kwa kila kitu, namwongelesha kwa BIGGEST
EVER confidence, namwabia kapendeza, ana manyonyo mazuri nimezimika kwake,
ana makalio ya kufa mtu naomba walau tuonane tuwe na contact tuonane siku
mwafaka, akikubali mtoe kwa soft drink hapo hapo, m drive back home, mweleze
alivyokugusa moyo, then utapata, sasa DUME zima eti anaona aibu whaaaaaat? utasikia
mechi uwanja wa Taifa tu, hutacheza ng'oooo
yaani mara anaangalia chini, kushika kichwa, mara ageuke nyuma.....aarrrrrrgghh
mm kama mwanaume kama nimemwoana mwanamke kapendeza au nataka kumtokea
mara moja namsogelea nipo sooooo smart kwa kila kitu, namwongelesha kwa BIGGEST
EVER confidence, namwabia kapendeza, ana manyonyo mazuri nimezimika kwake,
ana makalio ya kufa mtu naomba walau tuonane tuwe na contact tuonane siku
mwafaka, akikubali mtoe kwa soft drink hapo hapo, m drive back home, mweleze
alivyokugusa moyo, then utapata, sasa DUME zima eti anaona aibu whaaaaaat? utasikia
mechi uwanja wa Taifa tu, hutacheza ng'oooo