Mwanaume kujiuza!, ah! Haa!haaah!

Mwanaume kujiuza!, ah! Haa!haaah!

Duh,ila jamaa wameinvest nao,maana kupiga gym mpaka kuwa baunsa wa kuvutia si kazi ndogo nayo
 
Nimeenda club bongo , natoka nashtuka mabaunsa wananililia njaa kama wananijua, bila aibu.

Nikaona duh, waya mkali.
 
Duuh, sasa hawa tutawaitaje ?ni machangudoa wa kiume au tuwatafutie jina lingine?hahahaaa

inabidi tuwape jina lao,MACHANGUKAHABITA!nimedouble majina yote yale ya wale wa kike!wanume wa dunia ya sasa watasababisha sodoma na gomora part 2 looool!mashoga wao,na kujiuza tena,jinsia wabadili wao heee!
 
Duuh, sasa hawa tutawaitaje ?ni machangudoa wa kiume au tuwatafutie jina lingine?hahahaaa

Mnashangaa kuwa mwanaume anajiuza kwa jimama, muna strippers kabisa wa kiume. Gigolos is their name
 
Ahahahaha!! Zanzibar hakuna mwanaume kujiuza kwa jimama. Huu uchafu upo kwenuuuu kwenye walevi wengi!! 🙂
Miteja yote ili ya stone town???? .. Wazenji kwa kujiuza {wanaume na wanawake
} ndiyo zao!! heroin imewaharibu sana wazenji.

Wakina dada ndiyo usisemeee!!! ... dola 10 tu hijabu inawekwa pembeni unapata kichwa, dola 15 wanameza.
 
Kumbe mabaunsa wana kazi nyingi mjini hapa.
 
Back
Top Bottom