Shauri wana zambi nyingi sana.........wanawake wana dhambi chache ambazo nazo zinasababishwa na wanaume.......
Zambi......
Dhambi........
Wanaume wanafanya kazi nzito jamani...
Wengine wanateseka wanalea familia huko mke hamjali mume wake ikiwa kumpikia vizuri.. kumpeti peti... sasa kwa kazi wanazofanya wakikosa faraja mwili unadhoofika sana huku sisi tunanenepeana tuu..mwanaume anaumwa mwanamke hajali wala nini ndio kwanza anadai hela..mwanaume anakosa pa kupumzikia kila siku mawazo majukumu yote ya mke na watoto juu yake ya wazazi wake juu yake huku mwanamke unamdharau mume wako.. hamna siku hata moja inapita hujamkwaza. Anawaza hadi damu za pua bado hatujali...
KUNA BAADHI YA WANAWAKE NI WAUWAJI.. nimekumbuka kisa kimoja acha kabisa.
MWANAMKE UNAYETAKA MUME WAKO AISHI MUDA MREFU MLEE WATOTO WENU PAMOJA...
..shirikiana nae kila jambo ..mfariji pale anapokata tamaa mpikie vizuri ale ashibe mpe haki yake...usimruhusu mume wako awaze mawazo tofauti ya kumuumiza..SASA WEW MTESE AFE NJAA NA MAWAZO HALAFU ULIE LIE
Kwa mantiki hiyo wanawake ni sababu mojawapo ya janga hilo?
Ni takwimu gani zinaonyesha wanaume hufariki mapema kuliko wanawake?
Si labda wamekimbia, au nyingine hazijawahi kuwa na baba kabisa.Familia nyingi hazina baba huu ni ukweli ila reason behind sijui
wanaume wanakufa mapema kutokana na sababu zifuatazo
1.Wengi ni Malaya sana nikiwemo na mimi pia
2.wengi ni wanywaji wa pombe kali na wanakula chipsi
3. wanashinda wana stress za.kutafuta hela ili walishe familia
4. wengi hawana mda wa kwenda ibadani unaweza kukuta mtu amekaa miezi sita hajawahi kutokea church na hapigii hata maombi kwake
5.wengi ni vibaka na wanafany kazi haramu na mbaya. mfano wew ni boda boda, dereva tax, maloli yani ukifanya kazi hizi lazima ufe mapema na kama wew ni jambazi au kibaka siku ukikamatwa lazima ufe kwa kichapo
6.wengi tunatembea na wake.za watu kuowa hatutaki tunakwepa majukumu na kubanwa na mkeo
7. taendelea baadaye kwanza nimalizie mzinga wangu huu
Si labda wamekimbia, au nyingine hazijawahi kuwa na baba kabisa.
Shauri wana zambi nyingi sana.........wanawake wana dhambi chache ambazo nazo zinasababishwa na wanaume.......
Zambi......
Dhambi........
Sio kweli..Tunaziwahi neema za mbinguni..Nyie enedeleeni kubaki tu..Mwisho wa siku mje kuishi kwenye nyumba za udongo mbinguniZe thread is closed
Hivi ni kwann wanaume wengi hutangulia mbele za haki kuliko wanawake?