Mwanaume kubeba mimba

Nimefanikiwa kuupata huu uzi.. Je tuendelee hapa hapa ama kule? Usikwazike na negative replies
Ndoto huwa ni jambo la kiroho zaidi na maono pia... Hasa zile ndoto halisi vivid dreams yani hata ukiamka utaikumbuka mwanzo MWISHO
Ndoto huja kinyume kwahiyo sio ajabu kutokea umebeba mimba japo kuna feeling ya ukakasi kidogo
Mimba ni kiumbe kilichomo tumboni na umri wa kukaa tumboni ukiisha kitakota
Kwenye kutoka kuna mambo matatu au mane yanaweza kutokea
. kujifungua salama mtoto asiye na kasoro
. kujifungua mtoto mwenye kasoro
. kujifungua kiumbe mfu
. kujifungua lakini mama akafariki
Ukiyatafsiri haya kidunia ni Changamoto na mambo tunayokutana nayo kila siku mipango yetu kushindwa kwetu na kushinda
Mimba ya mapacha ni kiwakilishi cha mambo mawili kwa pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila mtu hapa jamii forum. akianza kuongea pointi ni shida kwani majukwaa yatapoteza ladha halisi. huu mchanganyiko wa komenti za kilokole, kihuni, wasio na dini. wavulana wasichana mabibi na mabwana ndio utamu wa jf yani unakuta id za waheshimiwa wanatoa michango ya chooni yaani safi tu jf raha sanaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu kama nakuelewa hivi maana nimeliota leo mida hiyo hiyo anayoisema jamaa sasa nikaona nitafute kwa mitandao ndo nakutana na hiki na michango ya wenye akili timamu pamoja na wenye akili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…