Mwanaume kua macho juu juu...

kwa hiyo kufanya matusi sana ujanani ndio kutumia ujana vizuri?

na ndiyo maana mkaambiwa tumieni ujana wenu vizuri//? Inawezekana wa namna hiyo hawajala ujana wao vizuri bado wanavutiwa kufanya vitu fulan ambavyo hawakufanya wakati wa ujana
 
Wee hakuna kitu kama hcho kila mtu na wake hakuna mapenz ya kushare kubadilishana aina ya vidudu
 
Nashukuru umenielewesha vyema meelewa
 
Ni kutojiamini tu; anatumia kipimo cha kuwa na watu wengi kama ndio uanaume na anasahau kinachopendwa ni pesa na sio yeye. Au nimekosea Asprin?
Hapana Kaunga, hujakosea. Kama anataka kujipima uanaume wake, amtafute binti akiwa hana hela........... Oh Mmmmammmmah! Atajishangaaje?
 
Last edited by a moderator:
Wee hakuna kitu kama hcho kila mtu na wake hakuna mapenz ya kushare kubadilishana aina ya vidudu

Ok. PLL, Hutaki kuchangia mwanaume na hakuna mwanaume ambaye anampenzi mmoja tu, wewe huna mpenzi/mume? Kama unae basi lazima utakuwa unachangia na wanawake wengine. Huo ndiyo ukweli, vinginevyo utakuwa unajidanganya mwenyewe.
 
Ok. PLL, Hutaki kuchangia mwanaume na hakuna mwanaume ambaye anampenzi mmoja tu, wewe huna mpenzi/mume? Kama unae basi lazima utakuwa unachangia na wanawake wengine. Huo ndiyo ukweli, vinginevyo utakuwa unajidanganya mwenyewe.
Ivi unavyosema hakuna una uhakika?tufanye ndio hakuna lakn lamsingi ni kua I am his number one....!
 
Ni kweli hawajiamini badala ya kukaa na kujenga familia yako mtu unakuta yupo busy na vimada at the end of the day vimada wana watu wao wanaowapenda , we unakuwa unatumika kurahisiha maisha yake (ya kimada_)kwa muda huo tu baadae wanasepa,



Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Gender KE
Nazungumzia wanaume nawe unaweza ukazungumzia wanawake

my dear PLL zama hizi tulizomo mambo yamebadirika mno...tuko mbele ya digitali yenyewe. zamani enzi za analojia mwanaume akifikisha umri wa miaka 30+ alikuwa mtulivu na ndoa yake. siku hizi ni kawaida mwanaume wa umri 30+ kutongoza ovyo ovyo! ni kawaida kama wewe hapo kukutana na mzee wa miaka 55+ ukampa 'shikamoo' akakuangalia kwa macho ya tamaa tamaa na kukujibu 'hujambo binti'! ukimchekea chekea anakutaka kimapenzi. halafu hata nyie mabinti hiyo mivao yenu inatuwakisha tamaa. na ninyi wenyewe mnapenda kudetiwa na mababa kwa sababu eti mababa wanatoa pochi nene halafu hawagandii muda wote kama vivulana vya umri wenu!
anyway hii mada yako ina majibu yenye maelezo mapana sana kiasi kwamba nikiandika hapa itakuwa ni 'gazeti'!
 
Ivi unavyosema hakuna una uhakika?tufanye ndio hakuna lakn lamsingi ni kua I am his number one....!

hapo nimekuelewa vizuri PLL, wewe ni namba moja, unachangia na namba mbili. Huu ni wakati wa kuita kijiko kijiko. (simama na kuueleza ukweli, watakao umia au kuchukia ki-mpango wao)
 
Mbona jipya silioni hapa? Au nimevaa miwani ya kutoona? Kongosho hebu njoo nivue hii miwani tafadhali
 
Last edited by a moderator:

Kwa vimada huwa tunafata starehe tu, yaani kama vile tunavyokwenda Club, tukimaliza tunarudi kwenye familia zetu, gharama tunazotumia Club au kwa vimada ni sehemu tu ya bajeti zetu za starehe, kimada anaposepa tunachukulia kama Club imefungwa, kwa hiyo tunatafuta nyingine.
 

Nipe 5...!
 

Umri wa mtu ni namba tu, maini hayazeeki wewe!
 
Mara nyingi tabia uliyokua nao kabla ya ndoa utaendelea kuwa nayo hata baada ya ndoa sanasana utajaribu kutafuta njia za kuficha. Usitegemee kuoa/kuolewa na malaya ukadhani ataacha kwenye umri mkubwa.
Baadhi ya wanaume malaya wanaonekana kutulia kwenye umri mkubwa kwa sababu majukumu yanakuwa yameongezeka, mfano gharama za kutunza familia zinaongezeka kwa hiyo pesa yake nyingi inaishia kwenye kutunza familia anakua hana surplus. Hapo anaonekana katulia lakini ukweli ni kwamba tabia yake imekuwa expensive na hawezi kui afford, sasa ukitaka kumtambua vizuri apate hela nyingi ya uhakika, hapo utakoma mwenyewe.
 
Reactions: PLL
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…