Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
- Thread starter
- #21
Mkuu Mpaka sasa ankaunt yang ina $ 4900.38 niongeze ngapi ili nionekane nimetafuta hiyo pesa
Mkuu Mpaka sasa ankaunt yang ina $ 4900.38 niongeze ngapi ili nionekane nimetafuta hiyo pesa
Bado huna Ela wewe.Mkuu Mpaka sasa ankaunt yang ina $ 4900.38 niongeze ngapi ili nionekane nimetafuta hiyo pesa
mkuu kwa mm ni nyingi mana ni akiba tu hiyo.Bado huna Ela wewe.
Dola elfu 5 (million 11.5 tsh) sio pesa ya mwanaume kutamka hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo upambane uiongeze mkuu,mkuu kwa mm ni nyingi mana ni akiba tu hiyo.
haina makolobwizoo
Ndo upambane uiongeze mkuu,
Haitoshi hata kumjengea mchepuko chumba na sebule sehem inayoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume tunachepuka sabab ni ngun sana kula nyapu 1 miaka nenda rud....Una mke, unaenda kuhangaika nje kutafuta nini? Mengine kujitakia, ni kweli wanaume tunatamaa, lakini ni mtihani lazima tuushinde mazee, utapiga nyapu za nje mpaka lini unapata nini. Am sure, kama kila mtu akijiuliza why anachepuka basi atapata majibu hakuna haja ya kuchepuka.
"Shida sisi tunaendeshwa na nafsi, tumeshindwa kuziendesha nafsi zetu"
Hela unayohonga kwa kimada, ukamnunulia mkeo kitenge, hela ya kwenda kulala hotel ukampa bimkubwa wako, hela ya kuzini ukaenda toa msaada kwa watoto yatima!!!?
Hatukatai kuchepuka tunachoshauli kujitoa sana kwa mchepuko na kujinyima mwenyeweWanaume tunachepuka sabab ni ngun sana kula nyapu 1 miaka nenda rud....
Its immoral ila ndo hvyo...bro wangu mmoja ana watoto wa3 na mkewe wamedum kama 13 yrs anakwambia dogo inafika kipind miez mi3 mizima akimwangalia mkewe yan hata kama babu alikua kasimama ile ya asubuh .inalala
Ila huyo mkewe sasa ukimwona..ni chuma kikal..sasa unajiuliza ni nin hik
Hapa na mkuu mi ndio yule mwenyewe bahati kuliko wote duniani naanzaje kupigwa na kitu kizitoushapigwa tukio wewe sio bure na wadangaji huko
Siku hizi mapenzi ni kuhudumiana leo sina nipe ninacho fresh.Kuendekeza mbunye halafu najisahau hata kununua soksi ni ufala
MtoajiMaskini jeuri,,,ubahiri utakuua
Sasa utachepuka bila kuhudumia mkuu...labda uwe unat.**a vitu vya ajab ilimrad ufanye tendoHatukatai kuchepuka tunachoshauli kujitoa sana kwa mchepuko na kujinyima mwenyewe
tunakuaminije sasaHapa na mkuu mi ndio yule mwenyewe bahati kuliko wote duniani naanzaje kupigwa na kitu kizito
Alimuoa kwa kuongozwa na tamaa za mwili badala ya Upendo. Tamaa za mwili zina expiry dateWanaume tunachepuka sabab ni ngun sana kula nyapu 1 miaka nenda rud....
Its immoral ila ndo hvyo...bro wangu mmoja ana watoto wa3 na mkewe wamedum kama 13 yrs anakwambia dogo inafika kipind miez mi3 mizima akimwangalia mkewe yan hata kama babu alikua kasimama ile ya asubuh .inalala
Ila huyo mkewe sasa ukimwona..ni chuma kikal..sasa unajiuliza ni nin hik
Muhudumiane sio kuhudumia mfano leo anashida ya teni mpe kesho unashida na faru akimuomba akupe sio penzi ndio liwe biashara mara kumi ukanunue barmed ule ulipe utembee zako sio hamna kambi hapoSasa utachepuka bila kuhudumia mkuu...labda uwe unat.**a vitu vya ajab ilimrad ufanye tendo
Mniamini tu Mkuu hakuna namna tuishi kwa imanitunakuaminije sasa
sawaMniamini tu Mkuu hakuna namna tuishi kwa imani