Mwanaume jiulize, huyo dada unayemchezea unataka aende wapi?

Mwanaume jiulize, huyo dada unayemchezea unataka aende wapi?

Hyo kauli ya kusema unamchezea mbona mnaipenda sana??

Mambo ya malovee kila mtu anafanya kwa ridhaa yake hizo raha kila mtu anapata sasa kwann uelekeze upande mmoja??
 
Wacha wadhalilishwe maana wadada wenyewe huwa wanapenda Bad Boys! Wanasema sisi akina Gud guys hatuna mvuto
 
word
wakati yuko busy anamchezea huyu at the same time his future wife nae anakuwa anachezewa na mwingine
 
Habari wanaMMU.


Wanaume wamekuwa na tabia ambayo huenda hawajajua madhara yake au hawajafahamu nini matokeo ya kile wanachokuwa wanakifanya kwa wakati husika huko mbeleni.

Inatokea anakuwa na mahusiano na mwanamke/msichana na katika hayo mahusiano wakati mwingine anakuta amemdhalilisha mwanamke kiasi kwamba thamani ya huyo mwanamke inakuwa imepotea katika jamii yake.


Kwa mfano, unampiga mwanamke picha za uchi na kuzisambaza mitandaoni.


Wakati mwingine unamuingilia kinyume na maumbile na baadaye unaamua kumuanika mitandaoni kwa sababu ya kutofautiana kwenu.

Huyu mwanamke uliyofanyia huu uchafu sasa inafikia wakati anapaswa kuwa mke wa mtu na kuzaa watoto,


Jiulize hii laana ya kumtia doa mwanamke ambaye hukuwa na mpango nae kimaisha anaibeba nani maana ni kwamba mwanaume mwenzako unakuwa umemtwisha msalaba usiomuhusu.


Hakika hii LAANA itakufikia.
Usiegemee sana kwa wanaume vitu vingine wanawake nao wanataka
 
Utakapo kuja kuoa Mwanamke asiye Bikra ndio utakuja kujua umuhimu wa kula cha mwenzako Mapema!
Kama unataka mwanamke bikira, mzae, umlee , umuoe! Lakin aliyezaliwa na mwingine acha kuweka guarantee ya bikira!

Ukitaka umpate mwenye bikira na wewe baki na bikira yako! ! !

Maana hata maandiko ya Mungu yanasema utapewa wa kufanana naye!

Ukiruka utapewa aliyeruka, ukitulia utaletewa aliyetulia
 
Tuwalaumu wanaume ila tujiulize kwa nini wanawake wanakubali kupigwa pics chafu ? Wanawake wanapaswa kukataa kudhalilishwa.
 
Kama unataka mwanamke bikira, mzae, umlee , umuoe! Lakin aliyezaliwa na mwingine acha kuweka guarantee ya bikira!

Ukitaka umpate mwenye bikira na wewe baki na bikira yako! ! !

Maana hata maandiko ya Mungu yanasema utapewa wa kufanana naye!

Ukiruka utapewa aliyeruka, ukitulia utaletewa aliyetulia
Huo msemo wa kusema ukitulia nawe utapata aliyetulia naona ulifanya kazi enzi hizo za mitume lkn kizazi hiki si kweli napingana na maandishi. Jaribu kuchek ndoa nyingi unakuta mmoja ametulia lkn mwengine kiruka njia. Kizazi hiki kinaenda indirect proportional na hayo maandishi yenu.
 
Huo msemo wa kusema ukitulia nawe utapata aliyetulia naona ulifanya kazi enzi hizo za mitume lkn kizazi hiki si kweli napingana na maandishi. Jaribu kuchek ndoa nyingi unakuta mmoja ametulia lkn mwengine kiruka njia. Kizazi hiki kinaenda indirect proportional na hayo maandishi yenu.
Hayo maandishi yanafanya kazi ukimshika Mungu tena umshike kweli!

Usiwe vuguvugu!
 
mtu kama unapigwa picha za uchi kwa nini uweke uso??😀 kiherehere chake kimemponza na wakome kabisa....picha ya uchi apige uchi na si vinginevyo
wanaona raha wanavyopigwa hizo picha, mbona wenzao wanakataa... tena wanakua wanakenua meno kabisa
 
Back
Top Bottom