Mwanaume jiulize, huyo dada unayemchezea unataka aende wapi?

Mwanaume jiulize, huyo dada unayemchezea unataka aende wapi?

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,786
Habari wanaMMU.


Wanaume wamekuwa na tabia ambayo huenda hawajajua madhara yake au hawajafahamu nini matokeo ya kile wanachokuwa wanakifanya kwa wakati husika huko mbeleni.

Inatokea anakuwa na mahusiano na mwanamke/msichana na katika hayo mahusiano wakati mwingine anakuta amemdhalilisha mwanamke kiasi kwamba thamani ya huyo mwanamke inakuwa imepotea katika jamii yake.


Kwa mfano, unampiga mwanamke picha za uchi na kuzisambaza mitandaoni.


Wakati mwingine unamuingilia kinyume na maumbile na baadaye unaamua kumuanika mitandaoni kwa sababu ya kutofautiana kwenu.

Huyu mwanamke uliyofanyia huu uchafu sasa inafikia wakati anapaswa kuwa mke wa mtu na kuzaa watoto,


Jiulize hii laana ya kumtia doa mwanamke ambaye hukuwa na mpango nae kimaisha anaibeba nani maana ni kwamba mwanaume mwenzako unakuwa umemtwisha msalaba usiomuhusu.


Hakika hii LAANA itakufikia.
 
hapo zaidi ya kumchezea ni kumdhalilisha...maana kuchezea unaweza sema waliburudika wote ...ila kumfanyiaukatili kabisa tuiweke hivo...sio poa kabisa
 
Kusambaza picha za ngono za mtu ni uharifu kama uharifu mwngne tu...haihusian na role ya mwanaume ktk mapenzi,haihusian na pesa ambazo tunawahonga wanawake..ni ujinga tu km ujinga mwngne ule
 
Mkuu hela inakufanya umdhalilishe mtu??
wamezidi mara saluni,nguo,vocha,kiatu,pango,umsomeshe n.k wapo ambao angalau lkn wengine kiboko mpk unazima simu ukikutananae mtaani unakula chocho,gheto unarudi saa 6 usiku
 
mtu kama unapigwa picha za uchi kwa nini uweke uso??😀 kiherehere chake kimemponza na wakome kabisa....picha ya uchi apige uchi na si vinginevyo
 
Habari wanaMMU.


Wanaume wamekuwa na tabia ambayo huenda hawajajua madhara yake au hawajafahamu nini matokeo ya kile wanachokuwa wanakifanya kwa wakati husika huko mbeleni.

Inatokea anakuwa na mahusiano na mwanamke/msichana na katika hayo mahusiano wakati mwingine anakuta amemdhalilisha mwanamke kiasi kwamba thamani ya huyo mwanamke inakuwa imepotea katika jamii yake.


Kwa mfano, unampiga mwanamke picha za uchi na kuzisambaza mitandaoni.


Wakati mwingine unamuingilia kinyume na maumbile na baadaye unaamua kumuanika mitandaoni kwa sababu ya kutofautiana kwenu.

Huyu mwanamke uliyofanyia huu uchafu sasa inafikia wakati anapaswa kuwa mke wa mtu na kuzaa watoto,


Jiulize hii laana ya kumtia doa mwanamke ambaye hukuwa na mpango nae kimaisha anaibeba nani maana ni kwamba mwanaume mwenzako unakuwa umemtwisha msalaba usiomuhusu.


Hakika hii LAANA itakufikia.
Uwaulize wadada je ukifanyiwa kinyume na maumbile what is your future ???? Ukikubali kupigana picha za utupu je unajua kuna leo na kesho???? VP mkitengana....

Anyway pamoja ya kwamba mwanaume anapaswa kulaumiwa ila the best solutions come from wanawake....!

Wanawake /wasichana tunzeni heshima zenu jitunzeni nyie ndio wahanga wakubwa
 
Ni kweli unachosema,ila na sisi wanawake inabidi tuwaze na mbelen itakuwaje,kwanza kitendo cha kushiriki mapenz kinyume na maumbile ni dhambi tosha ht mwanaume anakudharau,au kukubali kupigwa picha cha uchi maan yake ni nini,ukiwa na mwanaum anayekufanyia hivyo inabidi ufikirie mara mbili
 
mtu kama unapigwa picha za uchi kwa nini uweke uso??😀 kiherehere chake kimemponza na wakome kabisa....picha ya uchi apige uchi na si vinginevyo
Sure. Kama picha inayohitajika ni ya tunda, kwa nini upige hadi mizizi au matawi? C upige tunda peke ake?
 
Ningekusifu Sana Kama ungeanza kuwashauri wadada wa kileo Kuwa Miili yao inathamani kubwa si Kila akuombae tigo wee wabong'oa, waombwa pic ya papuchi wee wamanua na mwenzio a photoa
 
future wife wako yupo kupigwa dushe saiv!! Ko demu wako wa saivi ni future wife wa mshkaj mwenginee!!
 
Mkuu hela inakufanya umdhalilishe mtu??
kiukweli sio fair na ni udhalilishaji wa hali ya juu, we kama nyama ushapiga c ukae utulie ... Mwanaume mzima mku.nd** unakuwasha unaanza kuanika mambo uliomfanyia binti hadharani.. Co poa.. Ila kumbuka boko nawe utaliwa...
 
Back
Top Bottom